Yanga inaendeshwa kihuni

Yanga inaendeshwa kihuni

Sahivi unafikiri wanayaona hayo? Wamelewa pombe unaitwa hersi kila anachoshika kinageuka dhahabu

Sasa ipo hivi. Tajiri ameshapata alichokitaka pale utopoloni maana biashara ya magodoro, jezi na bidhaa nyingine za gsm mauzo yame dabali. Ndio mana unaona ameanza kupunguza bajeti Leo hii tajiri sio wa kushindwa kumretain key aziz au feitoto au mayele. Tajiri ameanza kuona uchungu wa pesa yake.

Hayo ya kuongozwa kihuni watawnza kutaona pombe ya ulevi hersi ikishawaisha. Ndio mana Wana hofu kuu na usajiri wa Simba na Mo kurudi kazini pale Simba.
Nikusaidie GSM sasa ndio anaenda kuwa Mshindi rasmi wa biashara za kila siku wanaita FMCG , atatambulisha GSM soap , GSM beverages [ maji ,juice ,energy drink] jamaa anawatumia yanga kupitia wanachama
 
Nikusaidie GSM sasa ndio anaenda kuwa Mshindi rasmi wa biashara za kila siku wanaita FMCG , atatambulisha GSM soap , GSM beverages [ maji ,juice ,energy drink] jamaa anawatumia yanga kupitia wanachama
Ukitazama vizuri ndio nilichomaanisha hapo juu. Kumwaga mapesa hivyo hovyo ilikuwa ni entry point tu kuwawin mashabiki wa Yanga. Now anatransform hiyo trust kuwa bizness. Just simple like that
 
Na huu ndo uhalisia uliopoView attachment 3037613i

•Matumizi ya Yanga yanatia mashaka kidogo,timu ina ratiba nyingi zisizokuwa na faida ..mfano kugawia supu mashabiki kisa kuifunga simba ni matumizi mabaya ya hela , kubandika mabango ya matokeo mtaani ni gharama za kujitakia mwisho wa siku timu inatumia fedha kuliko zilizoingia msimu mzima.

•Mikataba ya wachezaji na malipo ina makando kando , juzi ilikuwa Fei leo Aziz Ki . inasikitisha mchezaji wa muhimu kwenye kikosi hajalipwa mpaka sasa ila viongozi wameingia gharama kubwa ya mshahara kwa mchezaji kikongwe Chama

Aziz Ki akiondoka wa kulaumiwa ni viongozi
Haondoki ameshasinya tena kwa miaka miwili na leo Saa 8 mchana huu atawathibitishieni hilo Yeye Mwenyewe sawa?
 
Uhuni ni jadi yetu unataka tuuache tumwachie nani unayeona ataweza?

Na tutawakong'olo vizuri tu na uhuni wetu

Kombe kwa yanga tena
 
Na huu ndo uhalisia uliopoView attachment 3037613i

•Matumizi ya Yanga yanatia mashaka kidogo,timu ina ratiba nyingi zisizokuwa na faida ..mfano kugawia supu mashabiki kisa kuifunga simba ni matumizi mabaya ya hela , kubandika mabango ya matokeo mtaani ni gharama za kujitakia mwisho wa siku timu inatumia fedha kuliko zilizoingia msimu mzima.

•Mikataba ya wachezaji na malipo ina makando kando , juzi ilikuwa Fei leo Aziz Ki . inasikitisha mchezaji wa muhimu kwenye kikosi hajalipwa mpaka sasa ila viongozi wameingia gharama kubwa ya mshahara kwa mchezaji kikongwe Chama

Aziz Ki akiondoka wa kulaumiwa ni viongozi
So what?
 
Back
Top Bottom