Yanga Inafanya Mapinduzi ya Kisoka, SSC bado iko na Mpira wa Siasa

Yanga Inafanya Mapinduzi ya Kisoka, SSC bado iko na Mpira wa Siasa

Kolo yeyote mwenye akili kama Mimi siwezi kukupinga.. wewe Utopolo unaongea ukweli kabisa.. sisi Makolo hatuna Timu na Jana tumetoka kutobolewa huko.. Utopolo wataendelea kutufunga miaka yote kama kushinda au draw kwa Makolo itakuwa ni miujiza tu na kama mnavyojuaga Matokeo ya Mpira sometimes. Huko CAF zitarudi zile 5, 5 bila
 
Mandonga anacheza na mikoa ya Tz tu mara Morogoro mara KMC[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Mandonga akili yake inamwambia anaweza yaan hiyo ipo inside his head , ukija the reality on the ground , ukimgusa kidogo kichwan anaanguka kama ana kifafa. Ndio kama SIMBA , inatandikwa Then wanasema oooh tumejifunza wapi panavuja lol [emoji13], wao kila siku ni kujifunza wap panavuja.... Big time Yaani SSC is too good for nothing

Wzseme tu ni msimu wa pili sasa they have poor investment na karata zimechezwa tena vibaya.

Wao miaka nenda rudi ni Chama Chama Yaani utadhan wachezaji bora Africa ni chama tu ; chama now is too old hana Tena maajabu. Na hivyo waafrica wanavyodanganya Umri ; ukute Chama is almost approaching 40 but wanadai he is 31 .
Kazi ipo
 
Lazima tujifunze kuuona ukweli kwenye naked level . Hizo mambo tunaboresha kikosi tunaboresha kikosi ni UTAPELI . Kikosi bora kinaonekana asubuhi kama inavyoonekana kwa Yanga .

Mambo y’a kumpa Muda Mzungu ni big time na ni ukichaa, anakula salary aoneshe uwezo on spot .... Hii ndiyo maana samatta alifeli Ulaya , mlitaka apewe Muda huku anakula salary ni waste of time .
Umeajiriwa onesha uwezo kama kina Stafano

Endeleeni kuukumbatia Utapeli
 
Niseme kweli SITOTAMANI kuangalia tena Mpira wa Simba na Yanga hiyo October.

Kwa Mapinduzi na Mageuzi anayoyafanya Yanga ambayo yapo kimkakati kimataifa zaidi, hali itakuwa ni mbaya kwa SSC na itakuwa ni aibu sana SSC atakapokutana na Yanga.

Imagine tu , Kuna Stefano Aziz , kuna Tusila Kisinda , kuna Mayele , Mama yangu ..... kuna yule mwendawazimu Efua Morrison ..... huku kuna huyu Mpemba Feisali..... tuacheni Utani SSC anatoka vipi hapo ? Kwa huyu Dejan ? Tshabalala ? Outara ? Yaani kwa mchezaji gani kwa mfano atakuwa na power ya kumzuia Efua, Tusila, Stefano au Mayele .. hii ni hatari sasa. Hawa wazee wa SSC watapata tabu sana, nasema watapata tabu sana.... maana kipigo chake kitakuwa ni cha mbwa koko.

Simba yeye ana Mzungu na siasa za matangazo bila matendo , hali ni mbaya MSIMBAZI , nasema tena hali ni tete MSIMBAZI .

Timu mpaka sasa bado inafanyiwa MABORESHO kwa mujibu wa Msemaji wa SSC; Ligi imeshaanza, na Champion ligi ina wiki chache kuanza ..... bado tupo kwa maboresho tena ..... Nasema hali ni tete Msimbazi..... Barba Out !

Kikosi cha UTOPOLO cha sasa ni cha Dhahabu na hakika kinakwenda KUSABABISHA. Naiona Yanga kwenye robo fainali ya CAF : naiona SSC ikitolewa Kwenye Preliminary stage round ya pili. Time will tell ,tuupe Muda wakati.

SSC bado inaamini kwenye myth , kwamba wao ni timu kubwa .... wanasahau kuwa mpira ni elasticity na Yanga amesha prove wrong kwa SSC more than 3 times kuwa SSC nyakati zimebadilika..... lakini SSC ina Act Kama MANDONGA.

Kwenye akili ya mandonga yeye anaamini anaweza kumpiga yoyote na kuwa alipigwa kwa kuotewa.... yaani ameiaminisha ujinga akili yake out of knowing the reason why ..... ndiyo inachofanya SSC.

Ni suala la Muda mchache sana ukweli utajulikana na ni muda mchache sana Barba Gonzalenz itamlazimu ajitafakari upya na utendaji wake pamoja na strategy zake.

Nina rudia tena, Barba ame focus zaidi Kwenye matangazo na siasa za Mpira kuliko investment na performance ya timu.

Time will tell very soon , Hali ya Msimbazi ni Mbaya sana hasa ukizingatia usajili uliofanywa ni kama vile Management haikujifunza kupitia last season. Ni dhahiri kuwa Yanga ilijifunza kitu na ina isuprize dunia very soon. Hongera Engenear. Mwanaume ndiyo kichwa cha familia.

Poleni wanasimba. Yule mwendawazimu wa mbio ameingia mjini, kazi ipo !
Halafu ukirejea msimamo wa ligi na ukatazama magoli yaliyofungwa unagundua hii post ni takataka tupu.
 
Hivi yule Joice wowo mbona hata sub haonekani?
 
Wachezaji wa kigeni wa Yanga wote ni moto
Simba tuna wqchezaji wengi wa kigeni wa kawaida the likes of Banda, Akpan, Kanoute, na Dejan...wapigwe tu.
 
"lakini SSC ina Act kama MANDONGA"

WTF! I like it [emoji1787][emoji1787]
Jamaa amesema ukweli mtupu! Kwa sasa simba ina act kama Mandonga! Inatumia nguvu kubwa kucheza mpira nje ya uwanja, kuliko uwanajani.

Wenzao wanafanya usajili wa maana, wenyewe ni kukejeli tu! Kipindi kile timu imeweka kambi Avic Town, wenyewe wakaenda Misri! Tambo na kejeli kibao! Mara sijui timu imeweka kambi Matombo baada ya kukosa hela ya kwenda kiweka kambi nje ya nchi!!! Bla bla nyingii!!

Siku ya Ngao ya Jamii, chali!! 😁😁
Halafu cha kushangaza mpaka leo, bado hawaamini Yanga ni bora zaidi yao! Yaani kama Mandonga tu. Hata umpige vipi! Bado anajitutumua tu.


Ngoja tuone sasa kwa kikosi hiki cha Yanga kama itatolewa mapema, na kirahisi tu wenye mechi za Kimataifa. Maana kete yao ya mwisho ya kuwakejeli ndiyo imebakia hapa.
 
Huku ndio kujitia kidole then unanusa
Kolo yeyote mwenye akili kama Mimi siwezi kukupinga.. wewe Utopolo unaongea ukweli kabisa.. sisi Makolo hatuna Timu na Jana tumetoka kutobolewa huko.. Utopolo wataendelea kutufunga miaka yote kama kushinda au draw kwa Makolo itakuwa ni miujiza tu na kama mnavyojuaga Matokeo ya Mpira sometimes. Huko CAF zitarudi zile 5, 5 bila
 
Halafu ukirejea msimamo wa ligi na ukatazama magoli yaliyofungwa unagundua hii post ni takataka tupu.

Huo msimamo wa ligi , Umecheza na Nani ?

Ni very soon soon utajua hujui. Ni suala la Muda utagundua kwamba hapa we are discussing issues ambazo zinahitaji kuwa taken serious
 
Back
Top Bottom