Yanga Inafanya Mapinduzi ya Kisoka, SSC bado iko na Mpira wa Siasa

Yanga Inafanya Mapinduzi ya Kisoka, SSC bado iko na Mpira wa Siasa

Walikuwa wanasema kikosi chao ni cha UEFA champions league leo hii wamekimbia uzi wote
Na wachambuzi wao wa mchongo,waliwapamba sana mitandaoni ,mashabiki maandazi nao wakaikingizwa king, matokeo yake ni hayo sasa wanakimbiana wenyewe
 
Back
Top Bottom