Yanga Inafanya Mapinduzi ya Kisoka, SSC bado iko na Mpira wa Siasa

Kolo yeyote mwenye akili kama Mimi siwezi kukupinga.. wewe Utopolo unaongea ukweli kabisa.. sisi Makolo hatuna Timu na Jana tumetoka kutobolewa huko.. Utopolo wataendelea kutufunga miaka yote kama kushinda au draw kwa Makolo itakuwa ni miujiza tu na kama mnavyojuaga Matokeo ya Mpira sometimes. Huko CAF zitarudi zile 5, 5 bila
 
Mandonga anacheza na mikoa ya Tz tu mara Morogoro mara KMC[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Mandonga akili yake inamwambia anaweza yaan hiyo ipo inside his head , ukija the reality on the ground , ukimgusa kidogo kichwan anaanguka kama ana kifafa. Ndio kama SIMBA , inatandikwa Then wanasema oooh tumejifunza wapi panavuja lol [emoji13], wao kila siku ni kujifunza wap panavuja.... Big time Yaani SSC is too good for nothing

Wzseme tu ni msimu wa pili sasa they have poor investment na karata zimechezwa tena vibaya.

Wao miaka nenda rudi ni Chama Chama Yaani utadhan wachezaji bora Africa ni chama tu ; chama now is too old hana Tena maajabu. Na hivyo waafrica wanavyodanganya Umri ; ukute Chama is almost approaching 40 but wanadai he is 31 .
Kazi ipo
 
Lazima tujifunze kuuona ukweli kwenye naked level . Hizo mambo tunaboresha kikosi tunaboresha kikosi ni UTAPELI . Kikosi bora kinaonekana asubuhi kama inavyoonekana kwa Yanga .

Mambo y’a kumpa Muda Mzungu ni big time na ni ukichaa, anakula salary aoneshe uwezo on spot .... Hii ndiyo maana samatta alifeli Ulaya , mlitaka apewe Muda huku anakula salary ni waste of time .
Umeajiriwa onesha uwezo kama kina Stafano

Endeleeni kuukumbatia Utapeli
 
Halafu ukirejea msimamo wa ligi na ukatazama magoli yaliyofungwa unagundua hii post ni takataka tupu.
 
Hivi yule Joice wowo mbona hata sub haonekani?
 
Wachezaji wa kigeni wa Yanga wote ni moto
Simba tuna wqchezaji wengi wa kigeni wa kawaida the likes of Banda, Akpan, Kanoute, na Dejan...wapigwe tu.
 
"lakini SSC ina Act kama MANDONGA"

WTF! I like it [emoji1787][emoji1787]
Jamaa amesema ukweli mtupu! Kwa sasa simba ina act kama Mandonga! Inatumia nguvu kubwa kucheza mpira nje ya uwanja, kuliko uwanajani.

Wenzao wanafanya usajili wa maana, wenyewe ni kukejeli tu! Kipindi kile timu imeweka kambi Avic Town, wenyewe wakaenda Misri! Tambo na kejeli kibao! Mara sijui timu imeweka kambi Matombo baada ya kukosa hela ya kwenda kiweka kambi nje ya nchi!!! Bla bla nyingii!!

Siku ya Ngao ya Jamii, chali!! 😁😁
Halafu cha kushangaza mpaka leo, bado hawaamini Yanga ni bora zaidi yao! Yaani kama Mandonga tu. Hata umpige vipi! Bado anajitutumua tu.


Ngoja tuone sasa kwa kikosi hiki cha Yanga kama itatolewa mapema, na kirahisi tu wenye mechi za Kimataifa. Maana kete yao ya mwisho ya kuwakejeli ndiyo imebakia hapa.
 
Huku ndio kujitia kidole then unanusa
 
Halafu ukirejea msimamo wa ligi na ukatazama magoli yaliyofungwa unagundua hii post ni takataka tupu.

Huo msimamo wa ligi , Umecheza na Nani ?

Ni very soon soon utajua hujui. Ni suala la Muda utagundua kwamba hapa we are discussing issues ambazo zinahitaji kuwa taken serious
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…