Kwa Yanga mbovu ile alivyoondoka mlishangilia,amerudi ikiwa Yanga imekamilika kila idaraTusila ni reject. Alivyocheza mara ya kwanza yanga alishinda nini?
Acha wivu mzee,unazeeka vibayaKwakukaa benchi sio..weka rekodi sawa
Mleta thread mbona kigeugeu?
Ulikuja na uzi ulisema kuwa Simba wanakikosi bora kuliko Yanga, hivyo usindi wa Yanga kwa Simba haiondoi ukweli kuwa Yanga hawana timu bora. Na ulisema kuwa Msimu huu Simba inaenda kucheza nusu fainali ya CAF champions league. Vipi tena mbona una ndimi mbili mbili?View attachment 2341897
Mnasajili.hadi dakika ya 89 bado unaleta fyokofyoko hapa
Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
Kwa hiyo hizo mechi ambazo Yanga wamefunga goli chache hawakucheza serious?Huo msimamo wa ligi , Umecheza na Nani ?
Ni very soon soon utajua hujui. Ni suala la Muda utagundua kwamba hapa we are discussing issues ambazo zinahitaji kuwa taken serious
We have september now! Tulia utamuona Mandonga wa KMCMandonga akili yake inamwambia anaweza yaan hiyo ipo inside his head , ukija the reality on the ground , ukimgusa kidogo kichwan anaanguka kama ana kifafa. Ndio kama SIMBA , inatandikwa Then wanasema oooh tumejifunza wapi panavuja lol [emoji13], wao kila siku ni kujifunza wap panavuja.... Big time Yaani SSC is too good for nothing
Wzseme tu ni msimu wa pili sasa they have poor investment na karata zimechezwa tena vibaya.
Wao miaka nenda rudi ni Chama Chama Yaani utadhan wachezaji bora Africa ni chama tu ; chama now is too old hana Tena maajabu. Na hivyo waafrica wanavyodanganya Umri ; ukute Chama is almost approaching 40 but wanadai he is 31 .
Kazi ipo
cheki wajinga hawaNiseme kweli SITOTAMANI kuangalia tena Mpira wa Simba na Yanga hiyo October.
Kwa Mapinduzi na Mageuzi anayoyafanya Yanga ambayo yapo kimkakati kimataifa zaidi, hali itakuwa ni mbaya kwa SSC na itakuwa ni aibu sana SSC atakapokutana na Yanga.
Imagine tu , Kuna Stefano Aziz , kuna Tusila Kisinda , kuna Mayele , Mama yangu ..... kuna yule mwendawazimu Efua Morrison ..... huku kuna huyu Mpemba Feisali..... tuacheni Utani SSC anatoka vipi hapo ? Kwa huyu Dejan ? Tshabalala ? Outara ? Yaani kwa mchezaji gani kwa mfano atakuwa na power ya kumzuia Efua, Tusila, Stefano au Mayele .. hii ni hatari sasa. Hawa wazee wa SSC watapata tabu sana, nasema watapata tabu sana.... maana kipigo chake kitakuwa ni cha mbwa koko.
Simba yeye ana Mzungu na siasa za matangazo bila matendo , hali ni mbaya MSIMBAZI , nasema tena hali ni tete MSIMBAZI .
Timu mpaka sasa bado inafanyiwa MABORESHO kwa mujibu wa Msemaji wa SSC; Ligi imeshaanza, na Champion ligi ina wiki chache kuanza ..... bado tupo kwa maboresho tena ..... Nasema hali ni tete Msimbazi..... Barba Out !
Kikosi cha UTOPOLO cha sasa ni cha Dhahabu na hakika kinakwenda KUSABABISHA. Naiona Yanga kwenye robo fainali ya CAF : naiona SSC ikitolewa Kwenye Preliminary stage round ya pili. Time will tell ,tuupe Muda wakati.
SSC bado inaamini kwenye myth , kwamba wao ni timu kubwa .... wanasahau kuwa mpira ni elasticity na Yanga amesha prove wrong kwa SSC more than 3 times kuwa SSC nyakati zimebadilika..... lakini SSC ina Act Kama MANDONGA.
Kwenye akili ya mandonga yeye ni MSHINDI na yeye anaweza kumpiga yoyote na kuwa alipigwa kwa kuotewa.... yaani ameiaminisha ujinga akili yake out of knowing the reason why ..... ndiyo inachofanya SSC.
Ni suala la Muda mchache sana ukweli utajulikana na ni muda mchache sana Barba Gonzalenz itamlazimu ajitafakari upya na utendaji wake pamoja na strategy zake.
Nina rudia tena, Barba ame focus zaidi Kwenye matangazo na siasa za Mpira kuliko investment na performance ya timu.
Time will tell very soon , Hali ya Msimbazi ni Mbaya sana hasa ukizingatia usajili uliofanywa ni kama vile Management haikujifunza kupitia last season. Ni dhahiri kuwa Yanga ilijifunza kitu na ina isuprize dunia very soon. Hongera Engenear. Mwanaume ndiyo kichwa cha familia.
Poleni wanasimba. Yule mwendawazimu wa mbio ameingia mjini, kazi ipo !
Umeandika ujinga wa kutosha sana. Kesho mnaenda kukeketwa liveNiseme kweli SITOTAMANI kuangalia tena Mpira wa Simba na Yanga hiyo October.
Kwa Mapinduzi na Mageuzi anayoyafanya Yanga ambayo yapo kimkakati kimataifa zaidi, hali itakuwa ni mbaya kwa SSC na itakuwa ni aibu sana SSC atakapokutana na Yanga.
Imagine tu , Kuna Stefano Aziz , kuna Tusila Kisinda , kuna Mayele , Mama yangu ..... kuna yule mwendawazimu Efua Morrison ..... huku kuna huyu Mpemba Feisali..... tuacheni Utani SSC anatoka vipi hapo ? Kwa huyu Dejan ? Tshabalala ? Outara ? Yaani kwa mchezaji gani kwa mfano atakuwa na power ya kumzuia Efua, Tusila, Stefano au Mayele .. hii ni hatari sasa. Hawa wazee wa SSC watapata tabu sana, nasema watapata tabu sana.... maana kipigo chake kitakuwa ni cha mbwa koko.
Simba yeye ana Mzungu na siasa za matangazo bila matendo , hali ni mbaya MSIMBAZI , nasema tena hali ni tete MSIMBAZI .
Timu mpaka sasa bado inafanyiwa MABORESHO kwa mujibu wa Msemaji wa SSC; Ligi imeshaanza, na Champion ligi ina wiki chache kuanza ..... bado tupo kwa maboresho tena ..... Nasema hali ni tete Msimbazi..... Barba Out !
Kikosi cha UTOPOLO cha sasa ni cha Dhahabu na hakika kinakwenda KUSABABISHA. Naiona Yanga kwenye robo fainali ya CAF : naiona SSC ikitolewa Kwenye Preliminary stage round ya pili. Time will tell ,tuupe Muda wakati.
SSC bado inaamini kwenye myth , kwamba wao ni timu kubwa .... wanasahau kuwa mpira ni elasticity na Yanga amesha prove wrong kwa SSC more than 3 times kuwa SSC nyakati zimebadilika..... lakini SSC ina Act Kama MANDONGA.
Kwenye akili ya mandonga yeye ni MSHINDI na yeye anaweza kumpiga yoyote na kuwa alipigwa kwa kuotewa.... yaani ameiaminisha ujinga akili yake out of knowing the reason why ..... ndiyo inachofanya SSC.
Ni suala la Muda mchache sana ukweli utajulikana na ni muda mchache sana Barba Gonzalenz itamlazimu ajitafakari upya na utendaji wake pamoja na strategy zake.
Nina rudia tena, Barba ame focus zaidi Kwenye matangazo na siasa za Mpira kuliko investment na performance ya timu.
Time will tell very soon , Hali ya Msimbazi ni Mbaya sana hasa ukizingatia usajili uliofanywa ni kama vile Management haikujifunza kupitia last season. Ni dhahiri kuwa Yanga ilijifunza kitu na ina isuprize dunia very soon. Hongera Engenear. Mwanaume ndiyo kichwa cha familia.
Poleni wanasimba. Yule mwendawazimu wa mbio ameingia mjini, kazi ipo !