Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio maana timu yako mbovu sana 😁🤣😁Niwe mkweli siwezi nikamuombea Yanga apite makundi.
Ntamuombea ashinde mechi lakini sio afike robo
Robo ambayo Simba kwa miaka minne amekuwa akiingia lakini yeye amekuwa mtu wa kwanza kunidhihaki na sasa kanitungia jina Mwakarobo.
Hapana siwezi kuwa mnafiki.
Lazima ajue kwanini kuna ugumu kwenye haya mashindano, lazima atambue kwanini kufika hapa ilimchukua miaka 27.
Hii ndio nidhamu ya mpira ambayo anatakiwa kujifunza na sio kupiga domo kwa timu pinzani na kuzipa mbinu za kumfunga Simba.
View attachment 2847530
Ki ukweli japo mi shabiki wa Simba nataka pia Yanga apite robo, sababu itakuwa heshima kwa TZ kuwa na timu mbili robo fainali, katika timu 8 (Hata Misri ni mara chache anafanikiwa kuingiza timu 2 robo fainali)
Ili Yanga awe na nafasi ya kufuzu robo sio tu amfunge Medeama bali anatakiwa kumfunga kwa goli 5 au zaidi
Likely Scenario ipo hivi
Yanga anagombea nafasi ya pili na C.R.B huku yanga akiwa na goal difference ya -3 wakati CRB ana +2
Yanga akishinda goli 5 atakuwa na pointi 5 na G.D ya +2 na CRB akitoa draw na Ahly kule Algeria (likely scenario) naye atakuwa na pointi 5 na G.D yake ikibaki +2 na Yanga kuwa nafasi ya tatu
Mechi ya 5 Yanga dhidi ya Ahly kule Misri akijitahidi akifungwa 2-1 bado atakuwa na pointi zake 5 bado na goal diffence ya +1
CRB akimfunga Medeama kule Algeria 2-0 naye atakuwa na pointi 8 na G.D ya +4
Mechi ya mwisho Yanga dhidi ya CRB anamfunga goli 3-0 kwa Mkapa anakuwa na pointi 8 na G.D ya +4 huku CRB akibaki na pointi nane pia na G.D ya +1 na Yanga anapitaa kwa kuwa na magoli mengi
So mechi ya kesho ndio mechi pekee ambayo Yanga ana nafasi kubwa ya ushindi, ushindi basi uwe mnono....
Aendeleeee kucheka na sasa hivi😂😁😁😁😁Belouzdad anachekea chooni, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kumbe 😂😁🤣😂😂 Cc adriz Evelyn Salt Nifah ephen_ njooni huku tuwacheke Hawa makoloEbwana eeeh huu uzi niliusoma ila sikuuzingatia sana maana bado nilikuwa kwenye vibe la ushindi wa jana. Kumbe safari ya Yanga inaweza kuisha rasmi leo au kabla hata ya mechi za mzunguko wa 5 wa timu zote? Yaani ili kujua kama atafuzu inabidi kuumiza vichwa kwa Tuki Waki Table, kwani mlitulipia ada?
Tuombee Medeama ampunguzie maumivu mgonjwa wetu mahututi kwa kunyofoa waya ili kuimaliza safari yake leo. Kama ndugu tuombee hilo. Ikishindikana saana basi CRB amfunge au atoke sare na Al Ahly katika mechi iliyoahirishwa iliyokuwa ifanyike jana. Ni suala la Yanga kuchagua tu anataka kufa kifo gani 🤣😂🤣
Wacha wee, Kiko wapi?Panga pangua Al ahly na Belouzdad wanaenda robo.
Ishi na hii.
Mungu sio athumaniii🤣😁😁😁😁🤣🤣Panga pangua Al ahly na Belouzdad wanaenda robo.
Ishi na hii.