Yanga inarudi kwa kasi ya Kimondo: Hivi punde zile kelele za GSM anaharibu Ligi zitarudi, wanautwanga si mchezo!

Mlezi wa Dodoma jiji ni sehemu ya baraza la Yanga, unategemea nn
 
Tarehe 4 Jan tutakuja hapa na ndipo watu watakua wanalia TUKIWAULIZA UNAITWA nani??

UNAITWA NANI: KANJUNJU
KANJUNJU NANI: KANJUNJU JOHN

🤣🤣😅😅😂😂
 
Zimesharudi mbonaa
Na bado mpaka waseme
 
Na sindano tunaendelea kutumia, wakiona tunafaidi sana na wao watumie
Mda si mrefu watakuja na habari ya sindano pia utadhani awajui zinapouzwa kama ni rahisi kuzitumia wanavyofikiria
 
 
Tarehe 4 Jan tutakuja hapa na ndipo watu watakua wanalia TUKIWAULIZA UNAITWA nani??

UNAITWA NANI: KANJUNJU
KANJUNJU NANI: KANJUNJU JOHN

🤣🤣😅😅😂😂
Tarehe 4 tiyali na basha wenu keshachukua zakwake 3 swaaafi nenda mkamliwaze
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…