Yanga inasikitishwa na Tamko lililotolewa na Mdhamini Sportpesa

Yanga inasikitishwa na Tamko lililotolewa na Mdhamini Sportpesa

Smart codetz

JF-Expert Member
Joined
Jan 25, 2023
Posts
218
Reaction score
875
b8d8dd56-602e-4706-8abf-1e166468bb86-jpeg.2504110
4F17A75D-6BDA-4900-9BCA-067D2328961B.jpeg
 
Yanga kama waliona idea ya kwanza ya sportpesa imekataliwa na caf kwa nini hawakumshirikisha wakae watafute idea nyingine ya kuweka mbele ya jezi yao.

Ikiwa sportpesa hana haki za kukaa kwenye michuano ya kimataifa kwa nini hawakumtafuta mdhamkni mpya moja kwa moja. Wakachagua kuanza na sportpesa.

Janja nyuma ya iyo habari
 
Back
Top Bottom