Yanga inatakiwa iache kushiriki kwa kukariri

Yanga inatakiwa iache kushiriki kwa kukariri

Viwanda havifadhili, ndio maana kila kitu anafanya yeye. Usajili chumbani, mishahara chumbani, timu kusafiri chumbani, ujenzi wa uwanja mpaka atoe tamko toka chumbani kwake. Kama kweli angekuwa mwekezaji pesa ingekuwepo kwenye akaunti na klabu ingepanga matumizi, sio kuendeshwa na utashi wake.
Hivi masabiki wa vyura mbona Hanna akili umesha ambiwa mo sio mfahdiri bali ni muwekezaji lakini huelewi .
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Mh. Kikwete alipowaambia wa baridiiii pia walimpinga,,!! [emoji3] hata kushangilia pia wanadai tunabebwa

Ivi nyie mnawajuwa Yanga?[emoji23]

Wanao pinga hapa ni wale Washangiliaji[emoji134] wa Yanga na sio mashabiki wa Yanga[emoji17].
 
Na Ally Mayai Tembele

Niliwahi kuandika Yanga inajidanganya yenyewe na kuishi kwa kivuli cha timu kubwa na kudhani labda dunia imesimama kumbe dunia inakimbia kwa kasi mno.

Nilisema Yanga imedumaa na Siku ikija kushtuka na kutaka kwenda sambamba na dunia itakuta tayari Simba imeliteka soko lote la Uchumi wa soka nchini.
Nilitoa mfano wa Juventus, Porto, Buyen Munich, Mazembe, Gor na Horoya kwamba timu hizi tayari zimejimilikisha Uchumi wa soka wa nchi zao. Leo hakuna mchezaji wa Kijerumani asiyetamani kuchezea Buyern. Au mchezaji anayezaliwa Italy ndoto yake kuu ni kucheza Juventus. Na tunakoelekea na Tanzania hali ndiko inakoelekea. Simba inajimilikisha kwa kasi ya ajabu uchumi wa soka.
Yanga wamebaki kujivunia juzi na jana na sio leo na kibaya zaidi sioni kesho yao.
Kama Kuna kosa kubwa kuliko yote linafanyika ni pale wanapobeza mafanikio ya Simba na kuwaponda mwekezaji wa Muhamed Dewj. Wamekuwa wakitafuta mapungufu machache yaliyopo Simba na kuyafanya ndio agenda yao. Wamesahau kabisa kuitazama timu yao na mkwamo uliopo wameamua kuitukuza Simba na kuitaja aidha kwa mapungufu au kuwabeza Kama watani. Wanasahau hapa wao wenyewe ndio wanaikuza brand ya Simba na kuifanya kutajwa mno midomoni kila siku.

Leo Yanga hawana hata Jambo Moja wanaloweza kupambana na Simba aidha ndani au nje ya Uwanja. Wamezidiwa kila udara na itawachukua muda mrefu mno kufikia Simba ilipo Sasa.
Yanga hawajakubali bado kubadilisha mfumo wao wa uendeshaji wa timu kutoka wa kizamani na wa kiholela kuja kwenye mfumo wa kisasa na hii inasababishwa na walaghai tena wezi wa jasho la wachezaji kuwahadaa ni timu ya wananchi na wasikubali mwekezaji kwa kuwa timu itakuwa si Mali yao Tena. Huu ndio uongo uliotukuka wanaoutumia walaghai kuendelea kujinufaisha kupitia klabu hii.
Embu tujiulize nyie wapenzi na mashabiki wa Yanga lini mlinunuliwa hata soda na klabu zaidi ya nyie kuchangishwa? Sasa hicho mnachoaminishwa mtakipoteza ni kipi? Wanaoogopa kupoteza ni wale akina fulani ambao maisha yao yanategemea timu kuendelea kuishi mjini. Na hawa huwa hawachangii zaidi ya kuwa mstari wa mbele kuhamasisha ili wazizungukie mlango wa nyuma wakaziibe. Sisi tunaochanga Wala hatuna Cha kupoteza

Nahisi kwenye miaka ya sitini ni kweli mashabiki wa Yanga labda walikuwa wengi kuliko wa Simba na mkabweteka na mkasahau watu wanazaliwa na kufa. Nimebahatika kwenda karibu viwanja vyote vya soka nchini. Nawahakikishia kwa sasa Simba Ina mashabiki wengi kuliko timu zote nchini.
ENDELEENI KULALA MKIAMKA TAYARI JUA LITAKUWA LINAZAMA.
MAKALA HII SIO YANGU MIMI ALLY MAYAY TEMBELE
Naomba aliyeiandika.na kuituma katika mitandao kisha kuandika jina la ALLY MAYAI TEMBELE ajitokeze maana inawezekana ikawa kuna mimi ALLY MAYAY TEMBELE na kuna mwingine anayeitwa ALLY MAYAI TEMBELE.
Wapo wengine hawajaniuliza kama ni mimi ndio nimeandika makala hii kwa kuwa wanajua aina ya maudhui ambayo.huwa natumia katika kuandika makala na namna.ya uwasilishaji.wa ujumbe tarajiwa lakini wengine wamekuwa wakiniuliza kama.ni mimi kweli ?
Sio mimi ALLY MAYAY Mchezaji wa soka niliyeandika makala hii,.kama hakutakuwa na ALLY MAYAI mwingine ambaye pia namuomba ajitokeze basi watakuwa ni watu walioamua kutumia.jina langu pengine ili
 
Tofauti ya Manji na Mo ni tofauti ya muda na support ya serikali sasa hivi au niseme elimu kwa lugha nyingine, unadhani kwanini Mwakyembe aliposema.muwekezaji asimiliki 50% za hisa watu wa walianza kusema kua anataka kuwaharibia timu yao
Vyovyote mtakavyomuita Mo , muwekezaji au mfadhili ila haipingishi kua kitu anachokifanya ni zaidi ya uwekezaji/ufadhili kifupi ni mapenzi binafsi jambo ambalo kama siku likikoma kwa sababu yoyote ile (auze hizo hisa, afariki, au abadilishe mawazo) piga ua ni lazima simba ita shake tu hivyo mtoa uzi anapokuja na maneno yake ya kipuuzi kuwashambulia yanga namuona kama kituko maana kitachowatokea simba hakitakua na tofauti na kilichoikuta yanga wakati ule wa manji (japo mnasema kuna tofuati kati yake na Mo)
Mbona umekomaa na mo akifariki? kwani mo ataishi milele ndani ya dunia hii?,Siku zote mwanzo huwa ni mgumu lakini simba inaonesha njia sahihi, hata kesho mo akifariki au akaamua kuachana na simba atakuja mtu mwingine ambaye anaweza kufanya vizuri kuliko hata mo na klabu ikazidi kusonga.
Nikupe mfano labda utanielewa waliyo gundua ndege,gari,simu,elimu,bunduki na vitu ambavo ni muhimu katika maisha mwanadamu wa sasa hakuna aliye hai hata mmoja, lakini hivyo vitu bado vinatengenezwa tena kwa ubora wa hali ya juu kuliko vile vilivyo tengenezwa na wale walio vigundua.
Kwahiyo ni kweli mo anaweza kushidwa kuiendesha klabu akaamuwa ajiondoe simba lakini kwa sababu simba walisha tengeneza mfumo basi atakuja mwingine nyenye pesa zake atawekeza na wenda akawa ana weredi kuliko hata mo.
Mo atazidi kuheshimika kwa wana simba kwa sababu alituonesha njia kama wana simba ambayo tungetakiwa kuifuata zamani.
 
MAKALA HII SIO YANGU MIMI ALLY MAYAY TEMBELE
Naomba aliyeiandika.na kuituma katika mitandao kisha kuandika jina la ALLY MAYAI TEMBELE ajitokeze maana inawezekana ikawa kuna mimi ALLY MAYAY TEMBELE na kuna mwingine anayeitwa ALLY MAYAI TEMBELE.
Wapo wengine hawajaniuliza kama ni mimi ndio nimeandika makala hii kwa kuwa wanajua aina ya maudhui ambayo.huwa natumia katika kuandika makala na namna.ya uwasilishaji.wa ujumbe tarajiwa lakini wengine wamekuwa wakiniuliza kama.ni mimi kweli ?
Sio mimi ALLY MAYAY Mchezaji wa soka niliyeandika makala hii,.kama hakutakuwa na ALLY MAYAI mwingine ambaye pia namuomba ajitokeze basi watakuwa ni watu walioamua kutumia.jina langu pengine ili
Ndio maana wanaitwa mbumbumbu maana wanatunga vitu visivyo na kichwa wala miguu poleni kwa aibu mnayoipata.
Ndio Manara kawashikia akili zenu.
 
Upuuzi mtupu huu, simba mna kitu gani cha ajabu zaidi ya kutegemea pesa za Mo... Mo nae ni binadamu (siombei) lakini mtoa uzi umewahi kujiuliza mfano Mo akifariki sasa hivi timu ya simba hali yake itakuaje yani kitu ulichokifanya hapa ni sawa na kwenda na v8 ya baba yako kumchimba mkwara kijana mwenye ist yake binafsi

Narudia tena upuuuzi mtupu na wote waliokuunga mkono ni fans wa mkia fc
Wewe jamaa huna akili hata 0.eti Mo akifariki itakuweje!nikuulize swali dogo kupima uelewa wako!Mengi amefariki,waanzilishi/wamiliki wa kampuni wakifariki kampuni zao nazo zinafariki?

Unajua tofauti kati ya Mo Dewji na MeTL?unajua tofauti kati ya Manji na Quality Group? Kwa hiyo unasema GSM sio vizuri kukua kwa sababu mmiliki akifa na yenyewe inakufa?
 
Wajiita mabingwa wa kihistoria!!upuuzi kama huu hauna mfano
Makwasukasu ujinga umewazidi.Huwezi kuwasikia wapenzi wa Nottingham Forest wakijivunia eti walichukua Europa Cup.Kwani ni historia. Simba wangekuwa wajinga kama hawa Mbutembute FC wangetamba na ubingwa wa kihistoria wa CEFAFA kwenye vilabu lakini ujinga huo wamewaachia Migongo wazi.
 
Acha ujinga,pale ayupo Mo ila yapo makampuni ya Mo atakama akifa leo yale makampuni yataendeleza mkataba.
NB:KUNA TOFAUTI KUBWA KATI YA MO NA MANJI
Upuuzi mtupu huu, simba mna kitu gani cha ajabu zaidi ya kutegemea pesa za Mo... Mo nae ni binadamu (siombei) lakini mtoa uzi umewahi kujiuliza mfano Mo akifariki sasa hivi timu ya simba hali yake itakuaje yani kitu ulichokifanya hapa ni sawa na kwenda na v8 ya baba yako kumchimba mkwara kijana mwenye ist yake binafsi

Narudia tena upuuuzi mtupu na wote waliokuunga mkono ni fans wa mkia fc
 
Kaka nchi ina matatizo makubwa hii,kuanzia miundo mbinu mpaka miundombinu ya akili bure kabisa
Kwani mmiliki wa club ya Reicester city alivyofaliki team imeyumba? Mbona wabongo tunamawazo mgando namna hii
 
Tofauti ya Manji na Mo ni tofauti ya muda na support ya serikali sasa hivi au niseme elimu kwa lugha nyingine, unadhani kwanini Mwakyembe aliposema.muwekezaji asimiliki 50% za hisa watu wa walianza kusema kua anataka kuwaharibia timu yao
Vyovyote mtakavyomuita Mo , muwekezaji au mfadhili ila haipingishi kua kitu anachokifanya ni zaidi ya uwekezaji/ufadhili kifupi ni mapenzi binafsi jambo ambalo kama siku likikoma kwa sababu yoyote ile (auze hizo hisa, afariki, au abadilishe mawazo) piga ua ni lazima simba ita shake tu hivyo mtoa uzi anapokuja na maneno yake ya kipuuzi kuwashambulia yanga namuona kama kituko maana kitachowatokea simba hakitakua na tofauti na kilichoikuta yanga wakati ule wa manji (japo mnasema kuna tofuati kati yake na Mo)
Kumbe unashauri tumfukuze mo tuanzishe bakuli kwa akili hizi ndiyo maana mnaitwa gongo wazi mnastahili
 
Kumbe unashauri tumfukuze mo tuanzishe bakuli kwa akili hizi ndiyo maana mnaitwa gongo wazi mnastahili
We nae wa kukurupuka kama brother K kuna mahali nimeandika au kuwashauri mu mfukuze Mo? Kwanza uwezo huo wa kushauri nautoa wapi na ninaanzaje kwa mfano
 
Back
Top Bottom