Yanga inatembelea Nyota ya Simba kimataifa, iwe na nidhamu

Yanga inatembelea Nyota ya Simba kimataifa, iwe na nidhamu

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
53,868
Reaction score
121,001
Yanga ni klabu kongwe lakini haina chochote mbele ya uso wa soka la kimataifa. Ni kama pilipili hoho tu kubwa lakini haliwashi. Katika miaka ya hivi karibuni imekuwa ikichezea vichapo hata kwenye michezo ya kimataifa ya kirafiki. Ikumbukwe tangu kocha Nabi ajiunge hajawahi kifunga mechi yeyote ya kimataifa. Hata ukirudi nyuma kocha Zahera na Kaze bado walikuwa wanapelekewa moto tu.

Kifupi inanipotezea muda kujua mara ya mwisho kushinda mechi ya kimataifa ni lini,maana inahitaji kigugo taratibu.

Kwenye anga za kimataifa, Simba ni tamu, ni kinara kati ya wawakilishi wa Tanzania na Afrika Mashariki na Kati kwenye anga hizo ikiwazidi ujanja kwa mbali sana Yanga. Sina haja ya kuweka stori ndefu kwa sababu records za Simba zinajulikana.

Kiufupi ni moja ya Giants Afrika. Kwa sasa iko Sudani ikitumbuiza watu wa Sudani kabla ya kurudisha sukari hapa Bongo.

Kwa ujumla record hizo za Simba zinafanya timu zingine Afrika ziingiwe uoga kudhani hata Yanga wanasakata kambumbu. Kumbe hakuna lolote ni kutembelea nyota ya Simba tu.
Leo hii inaaminika Yanga itaifunga timu ya Sudan. Sio kwa sababu ya kiwango cha Yanga bali ni kwa vile mbina Simba huwa wanapiga? Isingekuwa hivyo basi Yanga wasingefungwa na Under 20 ya Somalia au Vipers.

Yaani Yanga ni kama Mboso au Lavalava kutembelea nyota ya Diamond. Ushauri wangu ni kwamba ukipata fursa ya kutembelea nyota ya mwenzio basi kuwa na nidhamu, kaza na ujifunze. Unaweza kufika mbali.
 
Hakuna timu kubwa yoyote Duniani ambayo Mashabiki wake Wana jitutumua Kwa ukubwa walionao, Mpira wa miguu principal zake ziko wazi. Ukubwa wa timu ni Makombe, huwezi kusema wewemkunwa kwakua uliwahi kumfunga bingwa Fulani.
Ukubwa watimu haulazimishwi Kwa kujitutumua mitandaoni, ukubwa ni vikombe tu.
Yanga ni wakubwa kuliko klabu yoyote nchini na ukubwa wao ni Makombe waliyonayo na kumtandika na kumyanyasa mpinzani wake Simba anavyotaka.
 
Mkuu unapoteza muda Bure. Hao jamaa mafanikio yao ni kiifunga ssc tuu baasssi. Hawana Habari na watu wengine. Wamesherekea wiki Tatu mayele kuifunga simba. Tuendelee kuwabeba tuu huko kimataifa
Simba Hana na hajawahi kuwa timu kubwa Afrika na hakuna yoyote Anaye itambia kama Simba ni Klabu kubwa Afrika, Haina kikombe chochote Afrika hatua ya mafanikio Kwa Simba ni kufika robo fainali ya Caf.
Huwezi kutambulika wewe mkubwa Kwa kufika robo au nusu kinachohitajika ni kikombe, kunatimu zaidi ya 30 zilizofika hatua ya robo kwenye mashindano ya Caf Tena zingine kuishia robo ni kufeli na wajihisi aibu.
Sasa Kuna timu inajitutumua kuonekana kubwa kisa iliwahi kuifunga Ahly ya Misri.
Zipo timu nyingi zilizo mfunga Ahly Tena zingine nyumbani Kwa Ahly na ugenini na hazijitutumui kua ni kubwa[emoji3][emoji3].
 
Yaani nchi hii Ina baadhi ya watu wahovyo kabisa, Mtu anaingia kwenye mitandao ya kijamii anasema Simba kubwa imemfunga Ahly, inashika nafasi ya 10 Afrika, CEO wetu anapiga picha na watu maarufu.

Ivi kweli kama si ujuha Nini!![emoji3][emoji3][emoji3]
Ivi klabu gani kubwa Barani Afrika inawaza kuwa Kuna Simba apa Afrika ita tetemeshwa nayo!!![emoji3][emoji3]
Klabu kubwa inashindwa kumsajili/Kuvunja mkataba wa Dola 200,000!!!
Klabu kubwa katika mlolongo wa target za usajili kati ya wachezaji 5 ilio wakusudia inawakosa wote,ata wale wa chaguo la pili inawakosa wote.
Klabu kubwa Mbaka Sasa Haina kikosi Cha kwanza kocha bado anahangaika kuunda kikosi chake!!
Ikiwa apa Tanzania hujawahi kuwa kubwa yaani Simba ni Klabu yapili Kwa umaaru apa nchini na si Ukubwa, tumekubaliana ukubwa ni Makombe.
Yaani klabu kubwa inamgombea Habib Kyombo na Singida Big stars?
Acheni uo upuuzi Simba Kwa namna inavyo endeshwa haiwezi kuwa klabu kubwa si tu apa Nchi ila uko Nje yanchi ndio wasahau kabisa.
Ata wawe wanawasha moto wa kichawi kwenye viwanja vya ugenini nje ya nchi na kubeba mapaka Kabla ya mechi haiwasaidii Ina liletea Taifa aibu.
 
Yanga ni klabu kongwe lakini haina chochote mbele ya uso wa soka la kimataifa. Ni kama pilipili hoho tu kubwa lakini haliwashi. Katika miaka ya hivi karibuni imekuwa ikichezea vichapo hata kwenye michezo ya kimataifa ya kirafiki. Ikumbukwe tangu kocha Nabi ajiunge hajawahi kifunga mechi yeyote ya kimataifa. Hata ukirudi nyuma kocha Zahera na Kaze bado walikuwa wanapelekewa moto tu.

Kifupi inanipotezea muda kujua mara ya mwisho kushinda mechi ya kimataifa ni lini,maana inahitaji kigugo taratibu.

Kwenye anga za kimataifa, Simba ni tamu, ni kinara kati ya wawakilishi wa Tanzania na Afrika Mashariki na Kati kwenye anga hizo ikiwazidi ujanja kwa mbali sana Yanga. Sina haja ya kuweka stori ndefu kwa sababu records za Simba zinajulikana.

Kiufupi ni moja ya Giants Afrika. Kwa sasa iko Sudani ikitumbuiza watu wa Sudani kabla ya kurudisha sukari hapa Bongo.

Kwa ujumla record hizo za Simba zinafanya timu zingine Afrika ziingiwe uoga kudhani hata Yanga wanasakata kambumbu. Kumbe hakuna lolote ni kutembelea nyota ya Simba tu.
Leo hii inaaminika Yanga itaifunga timu ya Sudan. Sio kwa sababu ya kiwango cha Yanga bali ni kwa vile mbina Simba huwa wanapiga? Isingekuwa hivyo basi Yanga wasingefungwa na Under 20 ya Somalia au Vipers.

Yaani Yanga ni kama Mboso au Lavalava kutembelea nyota ya Diamond. Ushauri wangu ni kwamba ukipata fursa ya kutembelea nyota ya mwenzio basi kuwa na nidhamu, kaza na ujifunze. Unaweza kufika mbali.
Neno GIANT mnalichukuliaje? u giant wa Simba ni upi?
 
Yaani mashabiki wa simba ndani ya hizi siku 2 sijui wamepitiwa na upepo wa aina gani! Maana wanakuja na mada ambazo hazina kichwa, wala miguu!
Mara kadhaa wamekuwa wakiilinganisha timu isiyo wahusu ya Yanga na wachezaji wake, dhidi ya vitu visivyo eleweka!

Au ndiyo homa ya mchezo dhidi ya Nyasa Big Bullets imeanza kuwapeleka puta!! Badala ya kujadili madhaifu ya kikosi chao! Wao wako busy kuleta vichekesho humu jukwaani!!

Hivi wanaweza wakatolewa kwenye hatua ya awali eti!!! 😁😁😁 Time will tell.
 
Mbona naona comments za utopolo ni magazeti maana mpk inachosha kuyasoma. Kama nyie utopolo wakubwa mngetuliaaa tuliii maana wakubwa wa makombe hayo makombe yangejieleza mbona kama sasa mapovuu?
 
Hapa ndipo naona ukubwa wa Simba ulipo maaana haiwazi tena kuna Yanga inawaza mbele hukoo inakutana na nani ila yanga makopo wao wanawaza watamfungaje Simba imara. Ndo maana mko mkiani kwenye ramani ya Africa kisoka
 
Hapa ndipo naona ukubwa wa Simba ulipo maaana haiwazi tena kuna Yanga inawaza mbele hukoo inakutana na nani ila yanga makopo wao wanawaza watamfungaje Simba imara. Ndo maana mko mkiani kwenye ramani ya Africa kisoka
Na mwezi wa 10 tunawafunga tena kudadek! Sisi shida yetu ni kuwafunga tu na kuchukua makombe ya ndani, tena pasipo kupoteza hata mechi moja kwenye ligi.
 
Back
Top Bottom