Yanga inatembelea Nyota ya Simba kimataifa, iwe na nidhamu

Yanga inatembelea Nyota ya Simba kimataifa, iwe na nidhamu

Kama tunataka kwenda mbele, tujifunze kupokea ukweli.. Simba SC ni Taifa Kubwa
Sasa Kwa namna hiyohiyo ya ukubwa wa Simba unao usema ebu shika kipaza sauti ambacho kinasikika Africa nzima, watangazie wa Afrika wanao kusikiliza waambie Simba klabu kubwa Barani Afrika na usubiri mrejesho wa wapenda soka Barani Afrika.
Nakuhakikishia Mwenyekiti wako ndugu Mangungu atatoka na kuomba radhi kwa kusema Sio wao Simba ila Kuna mtoto alikua anachezea mic[emoji3][emoji3]
 
Sasa Kwa namna hiyohiyo ya ukubwa wa Simba unao usema ebu shika kipaza sauti ambacho kinasikika Africa nzima, watangazie wa Afrika wanao kusikiliza waambie Simba klabu kubwa Barani Afrika na usubiri mrejesho wa wapenda soka Barani Afrika.
Nakuhakikishia Mwenyekiti wako ndugu Mangungu atatoka na kuomba radhi kwa kusema Sio wao Simba ila Kuna mtoto alikua anachezea mic[emoji3][emoji3]
Hakuna haja ya kshika kipaza sauti Simba inajitangaza yenyewe mifano mnayo mingi. Nyie wakamiaji wa Simba.
 
Na mwezi wa 10 tunawafunga tena kudadek! Sisi shida yetu ni kuwafunga tu na kuchukua makombe ya ndani, tena pasipo kupoteza hata mechi moja kwenye ligi.
Sisi hizo level tushazimaliza yani siku hizii Simba inapoenda kucheza na Yanga ni kama inacheza na Ruvu shooting tuu maana sometymes Ruvu shooting pia wanaweza kujipatia bao. Si mpira bwna? Ingekua nyie ni bora kama nyavu zenu zisingetikiswa kabisa ila Simba inawachapa mnabahatisha kimoja cha nyongeza ndo mnajikuta. Haaaahaa Simba lazima awapige bao either mtaongeza au la
 
Hapa ndipo naona ukubwa wa Simba ulipo maaana haiwazi tena kuna Yanga inawaza mbele hukoo inakutana na nani ila yanga makopo wao wanawaza watamfungaje Simba imara. Ndo maana mko mkiani kwenye ramani ya Africa kisoka
Hivi wenzetu uwa mnafikiria kuhusu soka au vitu gani!! Yaani inafikiria mbele uku uhalisia unaonyesha forward line Ina Moses Phil, John Boko, Kibu Denis, Habib Kyombo na Mzungu!!
Malengo ya klabu ni nusu fainali na Mashabiki mbumbumbu wana Kenua meno na kudai Simba itafanikiwa inauzoefu[emoji3][emoji3][emoji3].
Ata kama mnauzoefu wa kichawi izo ni ndoto za Alinacha.
 
Hivi wenzetu uwa mnafikiria kuhusu soka au vitu gani!! Yaani inafikiria mbele uku uhalisia unaonyesha forward line Ina Moses Phil, John Boko, Kibu Denis, Habib Kyombo na Mzungu!!
Malengo ya klabu ni nusu fainali na Mashabiki mbumbumbu wana Kenua meno na kudai Simba itafanikiwa inauzoefu[emoji3][emoji3][emoji3].
Ata kama mnauzoefu wa kichawi izo ni ndoto za Alinacha.
Huo uchawi hata nyie mnao. Ww endelea kuleta maneno badala mjipange msitie aibu mechi za club bingwa maana siku si nyingi. Kwahyo hao unaowataja hapo ndo kikosi kizima cha simba? Aliewafunga juzi kimoko ni mmoja wa hao? Nyie na hao mafoward wenu mna goli ngapi mpk sasa?
 
Simba inayoshindwa ku Saini mchezaji wa Dola 200,000/=inataka itwe timu kubwa Afrika. Labda Afrika ya Buza Kwa Mama Kibonge maana Kwa Buza nzima Si rahisi.[emoji3][emoji3]
Nani kakwambia wameshindwa kijana? Unadhani Simba ni kama Yanga wanaosajili kwa mbwembwe za kuringishia mwisho wa siku club inakosa hela za kutoka hata hapo Kenya tuu? Simba inaenda kwa mipango
 
Nani kakwambia wameshindwa kijana? Unadhani Simba ni kama Yanga wanaosajili kwa mbwembwe za kuringishia mwisho wa siku club inakosa hela za kutoka hata hapo Kenya tuu? Simba inaenda kwa mipango
Ukiacha mbumbumbu fc kwenda kufanya pre seson nje ya Tanzania nitajie klabu kubwa Barani Afrika kwasasa inayo fanya pre seson nje ya Nchi yake.
Msiige mambo msiyo yajua, Klabu kubwa Ulaya zinafanya hivyo Ili kuendelea kutanua wigo wa masoko Sasa Simba ata jezi za msimu mpya zimewashinda, zimefika pic 25 kwenye soko
Alafu mnataka ukubwa wa Afrika[emoji3][emoji3]
Yaani kwenye mambo ya Msingi mnaleta futuhi.
Ni Bora muda mliotumia mngefanya kama mlivyofanya Sasa kwenda kwenye mwakiko wa kombe la kashata na kahawa uko Sudani, vibonde mkiendelea kupasuana.
 
Ukiacha mbumbumbu fc kwenda kufanya pre seson nje ya Tanzania nitajie klabu kubwa Barani Afrika kwasasa inayo fanya pre seson nje ya Nchi yake.
Msiige mambo msiyo yajua, Klabu kubwa Ulaya zinafanya hivyo Ili kuendelea kutanua wigo wa masoko Sasa Simba ata jezi za msimu mpya zimewashinda, zimefika pic 25 kwenye soko
Alafu mnataka ukubwa wa Afrika[emoji3][emoji3]
Yaani kwenye mambo ya Msingi mnaleta futuhi.
Ni Bora muda mliotumia mngefanya kama mlivyofanya Sasa kwenda kwenye mwakiko wa kombe la kashata na kahawa uko Sudani, vibonde mkiendelea kupasuana.
Nanyie msijifanye hamuuigi kumbe hamna uwezo. Sababu za jezi kuchelewa au kuwa chache mnazijua au pungufu ww kama mdau wa Simba unazijua vzr tuu. Najua unaongea huku unaumia moyoni vibonde utalinganisha na timu mlizocheza nazo pre sizoni yenu mwanawane??? Ww kubali tuu Simba imewaaacha far away. Kumbe tumealikwa hata sikua najua aisee hivi nyie mlshaalikwa hata hapo kilwa kivinje kwelii,,, ooooh
 
Nanyie msijifanye hamuuigi kumbe hamna uwezo. Sababu za jezi kuchelewa au kuwa chache mnazijua au pungufu ww kama mdau wa Simba unazijua vzr tuu. Najua unaongea huku unaumia moyoni vibonde utalinganisha na timu mlizocheza nazo pre sizoni yenu mwanawane??? Ww kubali tuu Simba imewaaacha far away. Kumbe tumealikwa hata sikua najua aisee hivi nyie mlshaalikwa hata hapo kilwa kivinje kwelii,,, ooooh
Kwenda kwenye mabonanza kaanza simba useme anaigwa? 2016 Azam FC alienda kucheza bonanza Zambia , Geita Gold walikua Burundi juzi hapo nyie kwenu ni kipya
 
Sisi hizo level tushazimaliza yani siku hizii Simba inapoenda kucheza na Yanga ni kama inacheza na Ruvu shooting tuu maana sometymes Ruvu shooting pia wanaweza kujipatia bao. Si mpira bwna? Ingekua nyie ni bora kama nyavu zenu zisingetikiswa kabisa ila Simba inawachapa mnabahatisha kimoja cha nyongeza ndo mnajikuta. Haaaahaa Simba lazima awapige bao either mtaongeza au la
Msingekuwa mnajiua Kama mtu za stoo🤪🤪🤪🤪🤪🤪🤪🤪
 
Kwenda kwenye mabonanza kaanza simba useme anaigwa? 2016 Azam FC alienda kucheza bonanza Zambia , Geita Gold walikua Burundi juzi hapo nyie kwenu ni kipya
Hiii inaitwa aje kiufundi. Itakua inaitwa kujifariji mkuu. Any way haya basi kila mtu aendelee na mabonanza yake
 
Yanga ni klabu kongwe lakini haina chochote mbele ya uso wa soka la kimataifa. Ni kama pilipili hoho tu kubwa lakini haliwashi. Katika miaka ya hivi karibuni imekuwa ikichezea vichapo hata kwenye michezo ya kimataifa ya kirafiki. Ikumbukwe tangu kocha Nabi ajiunge hajawahi kifunga mechi yeyote ya kimataifa. Hata ukirudi nyuma kocha Zahera na Kaze bado walikuwa wanapelekewa moto tu.

Kifupi inanipotezea muda kujua mara ya mwisho kushinda mechi ya kimataifa ni lini,maana inahitaji kigugo taratibu.

Kwenye anga za kimataifa, Simba ni tamu, ni kinara kati ya wawakilishi wa Tanzania na Afrika Mashariki na Kati kwenye anga hizo ikiwazidi ujanja kwa mbali sana Yanga. Sina haja ya kuweka stori ndefu kwa sababu records za Simba zinajulikana.

Kiufupi ni moja ya Giants Afrika. Kwa sasa iko Sudani ikitumbuiza watu wa Sudani kabla ya kurudisha sukari hapa Bongo.

Kwa ujumla record hizo za Simba zinafanya timu zingine Afrika ziingiwe uoga kudhani hata Yanga wanasakata kambumbu. Kumbe hakuna lolote ni kutembelea nyota ya Simba tu.
Leo hii inaaminika Yanga itaifunga timu ya Sudan. Sio kwa sababu ya kiwango cha Yanga bali ni kwa vile mbina Simba huwa wanapiga? Isingekuwa hivyo basi Yanga wasingefungwa na Under 20 ya Somalia au Vipers.

Yaani Yanga ni kama Mboso au Lavalava kutembelea nyota ya Diamond. Ushauri wangu ni kwamba ukipata fursa ya kutembelea nyota ya mwenzio basi kuwa na nidhamu, kaza na ujifunze. Unaweza kufika mbali.
kila leo mnafungwa na mayele tu,uzembe huo.
 
Yaani nchi hii Ina baadhi ya watu wahovyo kabisa, Mtu anaingia kwenye mitandao ya kijamii anasema Simba kubwa imemfunga Ahly, inashika nafasi ya 10 Afrika, CEO wetu anapiga picha na watu maarufu.

Ivi kweli kama si ujuha Nini!![emoji3][emoji3][emoji3]
Ivi klabu gani kubwa Barani Afrika inawaza kuwa Kuna Simba apa Afrika ita tetemeshwa nayo!!![emoji3][emoji3]
Klabu kubwa inashindwa kumsajili/Kuvunja mkataba wa Dola 200,000!!!
Klabu kubwa katika mlolongo wa target za usajili kati ya wachezaji 5 ilio wakusudia inawakosa wote,ata wale wa chaguo la pili inawakosa wote.
Klabu kubwa Mbaka Sasa Haina kikosi Cha kwanza kocha bado anahangaika kuunda kikosi chake!!
Ikiwa apa Tanzania hujawahi kuwa kubwa yaani Simba ni Klabu yapili Kwa umaaru apa nchini na si Ukubwa, tumekubaliana ukubwa ni Makombe.
Yaani klabu kubwa inamgombea Habib Kyombo na Singida Big stars?
Acheni uo upuuzi Simba Kwa namna inavyo endeshwa haiwezi kuwa klabu kubwa si tu apa Nchi ila uko Nje yanchi ndio wasahau kabisa.
Ata wawe wanawasha moto wa kichawi kwenye viwanja vya ugenini nje ya nchi na kubeba mapaka Kabla ya mechi haiwasaidii Ina liletea Taifa aibu.
Unavyotoa povu jingi mnooo, utadhan vile umemeza omo. Poleeeeeh
Simba ni kubwaaaa, [emoji881][emoji881][emoji881][emoji881][emoji881][emoji881]
 
Yaani mashabiki wa simba ndani ya hizi siku 2 sijui wamepitiwa na upepo wa aina gani! Maana wanakuja na mada ambazo hazina kichwa, wala miguu!
Mara kadhaa wamekuwa wakiilinganisha timu isiyo wahusu ya Yanga na wachezaji wake, dhidi ya vitu visivyo eleweka!

Au ndiyo homa ya mchezo dhidi ya Nyasa Big Bullets imeanza kuwapeleka puta!! Badala ya kujadili madhaifu ya kikosi chao! Wao wako busy kuleta vichekesho humu jukwaani!!

Hivi wanaweza wakatolewa kwenye hatua ya awali eti!!! [emoji16][emoji16][emoji16] Time will tell.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] unaandika huku unatokwa na chozi,, woiiiiiih poleeeeeeeeh
 
Yaani nchi hii Ina baadhi ya watu wahovyo kabisa, Mtu anaingia kwenye mitandao ya kijamii anasema Simba kubwa imemfunga Ahly, inashika nafasi ya 10 Afrika, CEO wetu anapiga picha na watu maarufu.

Ivi kweli kama si ujuha Nini!![emoji3][emoji3][emoji3]
Ivi klabu gani kubwa Barani Afrika inawaza kuwa Kuna Simba apa Afrika ita tetemeshwa nayo!!![emoji3][emoji3]
Klabu kubwa inashindwa kumsajili/Kuvunja mkataba wa Dola 200,000!!!
Klabu kubwa katika mlolongo wa target za usajili kati ya wachezaji 5 ilio wakusudia inawakosa wote,ata wale wa chaguo la pili inawakosa wote.
Klabu kubwa Mbaka Sasa Haina kikosi Cha kwanza kocha bado anahangaika kuunda kikosi chake!!
Ikiwa apa Tanzania hujawahi kuwa kubwa yaani Simba ni Klabu yapili Kwa umaaru apa nchini na si Ukubwa, tumekubaliana ukubwa ni Makombe.
Yaani klabu kubwa inamgombea Habib Kyombo na Singida Big stars?
Acheni uo upuuzi Simba Kwa namna inavyo endeshwa haiwezi kuwa klabu kubwa si tu apa Nchi ila uko Nje yanchi ndio wasahau kabisa.
Ata wawe wanawasha moto wa kichawi kwenye viwanja vya ugenini nje ya nchi na kubeba mapaka Kabla ya mechi haiwasaidii Ina liletea Taifa aibu.
Technically wewe huna akili
 
Nyie ni wa kawaida sana kama sisi timu kubwa haiwezi kuondoka kati kati ya ligi ikacheze mabonanza
Endeleeni kukipiga na kmc ndo level yenu. Mkisogeza pua zenu nje ya Tanzani mnapigwa yani huko wanajipigia wanavyotaka. Uchawi wenu hauvuki mipaka hahaaaa
 
Endeleeni kukipiga na kmc ndo level yenu. Mkisogeza pua zenu nje ya Tanzani mnapigwa yani huko wanajipigia wanavyotaka. Uchawi wenu hauvuki mipaka hahaaaa
Tuombe uzima hizi dharau zitaisha tumemaliza ule mdomo wenu wa kuongoza round ya kwanza
 
Back
Top Bottom