Yanga inatumika na CCM kufifisha mijadala ya kitaifa

Yanga inatumika na CCM kufifisha mijadala ya kitaifa

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
53,868
Reaction score
121,001
Ninazo taarifa kwamba Yanga ilikuwa ifanye gwaride la ubingwa baada ya kuhitimisha mechi ya FA dhidi ya Azam.

Lakini walifuatwa na mamlaka kuamliwa wafanye hivyo siku ya jumamosi ambayo ilikuwa siku ya kujadiliwa mkataba wa bandari.

Yanga wakalazimika kubadili program yao kuendana na matakwa ya kisiasa. Program ya wachezaji ilionyesha wangekuwa mazoezini kuendelea na maandalizi ya mechi ya FA. Kocha Nabi alihoji haraka ya kufanya parade wakati wana mechi ya FA.

Hii haikubaliki timu zetu zinazounganisha watu wote bila kujali itikadi zao kutumika kisiasa. Inafaa tuungane kukemea jambo hili kwa uwazi bila kujali chochote.
 
Sio yanga tu hata Kuna wapumbavu Simba kwenye mechi za Simba wanakuja na mabango ya kumsifia rais, Hawa wapumbavu wameingilia mpira ili watuteke.
Yanga wasingekataa maana walikuwa wanalipa fadhila ya kupewa ndege
 
Nashangaa sana badala ya kujikita kwenye hoja za msingi namna gani timu ya Simba sc ifanye usajili maridhawa lakini mashabiki wake wamejificha nyuma ya keyboard wakisambaza habari za uongo.

Eti Yanga ilitumika kisiasa kuzima/kufukia mjadala wa Bandari Bungeni.

NALIA NGWENA nakataa kata kwa sababu kuu moja tu nayo ni Ratiba viongozi wa Yanga walianza kuimba hii Ratiba kabla hata ya huo mjadala.

Ratiba ilipangwa mapema kuwa Yanga watakapo kabidhiwa kombe huko Mbeya baada ya Game ya Tanzania prisons Basi itafanyika parade kubwa.

Kwa hiyo basi Ratiba ya mjadala wa Bandari huko Bungeni imekuja ikiwa Yanga imekwisha panga Ratiba.

Ndugu yangu OKW BOBAN SUNZU jipange Tena katika kuandaa propaganda kwanza huna evidence yoyote kuhusu Hilo na usituletee siasa kwenye mpira.

Nawasilisha hoja.
 
Ninazo taarifa kwamba Yanga ilikuwa ifanye gwaride la ubingwa baada ya kuhitimisha mechi ya FA dhidi ya Azam.

Lakini walifuatwa na mamlaka kuamliwa wafanye hivyo siku ya jumamosi ambayo ilikuwa siku ya kujadiliwa mkataba wa bandari.

Yanga wakalazimika kubadili program yao kuendana na matakwa ya kisiasa. Program ya wachezaji ilionyesha wangekuwa mazoezini kuendelea na maandalizi ya mechi ya FA. Kocha Nabi alihoji haraka ya kufanya parade wakati wana mechi ya FA.

Hii haikubaliki timu zetu zinazounganisha watu wote bila kujali itikadi zao kutumika kisiasa. Inafaa tuungane kukemea jambo hili kwa uwazi bila kujali chochote.
kwaiyo kuanzia leo tukubaliane nchi nzima inashabikia yanga,maana km makolo wana mashabiki ktk hii nchi hao hao ndo waliopaswa kufatilia mijadala ya bandari siku iyo lkn kwakuwa watzwote ni yanga kila kitu kilikufa siku iyo
 
Ninazo taarifa kwamba Yanga ilikuwa ifanye gwaride la ubingwa baada ya kuhitimisha mechi ya FA dhidi ya Azam.

Lakini walifuatwa na mamlaka kuamliwa wafanye hivyo siku ya jumamosi ambayo ilikuwa siku ya kujadiliwa mkataba wa bandari.

Yanga wakalazimika kubadili program yao kuendana na matakwa ya kisiasa. Program ya wachezaji ilionyesha wangekuwa mazoezini kuendelea na maandalizi ya mechi ya FA. Kocha Nabi alihoji haraka ya kufanya parade wakati wana mechi ya FA.

Hii haikubaliki timu zetu zinazounganisha watu wote bila kujali itikadi zao kutumika kisiasa. Inafaa tuungane kukemea jambo hili kwa uwazi bila kujali chochote.

Wameishiwa cha kuongea
Wamebaki kumdis ngwea
 
Ninazo taarifa kwamba Yanga ilikuwa ifanye gwaride la ubingwa baada ya kuhitimisha mechi ya FA dhidi ya Azam. Lakini walifuatwa na mamlaka kuamliwa wafanye hivyo siku ya jumamosi ambayo ilikuwa siku ya kujadiliwa mkataba wa bandari. Yanga wakalazimika kubadili program yao kuendana na matakwa ya kisiasa. Program ya wachezaji ilionyesha wangekuwa mazoezini kuendelea na maandalizi ya mechi ya FA. Kocha Nabi alihoji haraka ya kufanya parade wakati wana mechi ya FA. Hii haikubaliki timu zetu zinazounganisha watu wote bila kujali itikadi zao kutumika kisiasa. Inafaa tuungane kukemea jambo hili kwa uwazi bila kujali chochote.


Mimi nilisema hili mapema nikaonekana sukuma gang.

Haikuwa na mantiki yoyote watu wanajadili Sakata la Bandari bungeni nyie mnaadamana kupokea timu yenu
 
Mimi nilisema hili mapema nikaonekana sukuma gang.

Haikuwa na mantiki yoyote watu wanajadili Sakata la Bandari bungeni nyie mnaadamana kupokea timu yenu
Kwamba unataka kusema yanga wasinge fanya hiyo parade huu mkataba bunge lisingepitisha au yanga ndio wamesababisha huu mkataba upite
 
Nashangaa sana badala ya kujikita kwenye hoja za msingi namna gani timu ya Simba sc ifanye usajili maridhawa lakini mashabiki wake wamejificha nyuma ya keyboard wakisambaza habari za uongo.

Eti Yanga ilitumika kisiasa kuzima/kufukia mjadala wa Bandari Bungeni.

NALIA NGWENA nakataa kata kwa sababu kuu moja tu nayo ni Ratiba viongozi wa Yanga walianza kuimba hii Ratiba kabla hata ya huo mjadala.

Ratiba ilipangwa mapema kuwa Yanga watakapo kabidhiwa kombe huko Mbeya baada ya Game ya Tanzania prisons Basi itafanyika parade kubwa.

Kwa hiyo basi Ratiba ya mjadala wa Bandari huko Bungeni imekuja ikiwa Yanga imekwisha panga Ratiba.

Ndugu yangu OKW BOBAN SUNZU jipange Tena katika kuandaa propaganda kwanza huna evidence yoyote kuhusu Hilo na usituletee siasa kwenye mpira.

Nawasilisha hoja.
Simba ina mbumbumbu wengi sana
 
Ujinga mwingine bana, kwahiyo yanga waache kufanya Mambo yao kisa kuna mjadala wa bandari?, Kati ya huo mjadala na ratiba ya yanga kuwa na parade kipi kilikuwa kinajulikana?.
Haya tuseme yanga ni CCM mlikuwa kwenye hiyo mijadala mbona mpaka saizi hatuoni reaction ya hiyo mijadala yenu?, Tuache kuingiza vitu ambavyo having uhusiano na Bandari.
Kwa mtu mwenye IQ kubwa hawezi kuhusisha yanga na suala la kitaifa ni upunguani na utahira wako wewe zezeta OKW BOBAN SUNZU hujawahi kumiliki hata kisoda Cha akili, suala la Bandari ni suala la Taifa aidha uwe chadema, yanga,CCM au Simba. Tupunguze mihemko ya kishoga kwenye sensitive matters. Yanga parade yao haikuwa hata na watu 1M ko nyie 30+ mlikuwa wapi kwenda kuwazuia wabunge Dodom. Takataka Waheed wewe🍆
 
Back
Top Bottom