Yanga inatumika na CCM kufifisha mijadala ya kitaifa

Yanga inatumika na CCM kufifisha mijadala ya kitaifa

Walifanya parade siku ile kwa sababu wachezaji wao muhimu kama Mayele na Aziz wasingepata fursa ya kuifanya kama ingefanywa siku nyingine.
 
Mashabiki kindakindaki wa simba na yanga nawaonaga ni kama vichwa vya wendawazimu ni weupe sana kwenye kushiriki mambo ya msingi yanayohusu nchi asilimia kubwa ni watu walikubali kubuluzwa
 
Ninazo taarifa kwamba Yanga ilikuwa ifanye gwaride la ubingwa baada ya kuhitimisha mechi ya FA dhidi ya Azam.

Lakini walifuatwa na mamlaka kuamliwa wafanye hivyo siku ya jumamosi ambayo ilikuwa siku ya kujadiliwa mkataba wa bandari.

Yanga wakalazimika kubadili program yao kuendana na matakwa ya kisiasa. Program ya wachezaji ilionyesha wangekuwa mazoezini kuendelea na maandalizi ya mechi ya FA. Kocha Nabi alihoji haraka ya kufanya parade wakati wana mechi ya FA.

Hii haikubaliki timu zetu zinazounganisha watu wote bila kujali itikadi zao kutumika kisiasa. Inafaa tuungane kukemea jambo hili kwa uwazi bila kujali chochote.
😅😅😅
 
Huyu Mwamba nadhani ndo mwana JF anayeongoza kwa makaburi yake kufufuliwa. Uwezo wake wa kuona yajayo/ mbali nadhani hauzidi mita 10.
 
Ukifuatilia historia ya timu zote mbili inajulikana ni za Chama.Na zipo kwa maslai ya Chama
 
Hii nayo imekaaje! Kumualika Rais wa nchi kuhudhuria bonanza la utambulisho wa wachezaji wa msimu huu mpya wa ligi!! Lengo lenu kuu ni lipi hasa ndugu mtoa mada OKW BOBAN SUNZU?
 
Back
Top Bottom