Yanga inatumika na CCM kufifisha mijadala ya kitaifa

Yanga inatumika na CCM kufifisha mijadala ya kitaifa

Yanga ni taasisi inayojitegemea yenye kuamua ifanye nini kwa wakati gani,ajenda na mijadala ya kitaifa haiwezi fifishwa na Yanga wala mtu yeyote,ajenda itafifishwa na wewe kushindwa kusimamia ajenda yako, watu waliokuwa wanafuatilia ile ajenda hawakuwa na habari na Yanga,na waliokuwa na habari na Yanga hawakuwa na ajenda ya kitaifa.
Kama unatoka kwenye mstari utatoka tu kwa sababu ya akili yako lakini siyo kwa sababu ya Yanga,mbona wengine ndo kwanza tulikuja kujua parade la Yanga wakati wa taarifa ya habari ya ITV.
Tuache kuihusisha Yanga na mambo yasiyowahusu.
 
Ninazo taarifa kwamba Yanga ilikuwa ifanye gwaride la ubingwa baada ya kuhitimisha mechi ya FA dhidi ya Azam.

Lakini walifuatwa na mamlaka kuamliwa wafanye hivyo siku ya jumamosi ambayo ilikuwa siku ya kujadiliwa mkataba wa bandari.

Yanga wakalazimika kubadili program yao kuendana na matakwa ya kisiasa. Program ya wachezaji ilionyesha wangekuwa mazoezini kuendelea na maandalizi ya mechi ya FA. Kocha Nabi alihoji haraka ya kufanya parade wakati wana mechi ya FA.

Hii haikubaliki timu zetu zinazounganisha watu wote bila kujali itikadi zao kutumika kisiasa. Inafaa tuungane kukemea jambo hili kwa uwazi bila kujali chochote.
Hii hoja yako ni mufilisi.
 
Ninazo taarifa kwamba Yanga ilikuwa ifanye gwaride la ubingwa baada ya kuhitimisha mechi ya FA dhidi ya Azam.

Lakini walifuatwa na mamlaka kuamliwa wafanye hivyo siku ya jumamosi ambayo ilikuwa siku ya kujadiliwa mkataba wa bandari.

Yanga wakalazimika kubadili program yao kuendana na matakwa ya kisiasa. Program ya wachezaji ilionyesha wangekuwa mazoezini kuendelea na maandalizi ya mechi ya FA. Kocha Nabi alihoji haraka ya kufanya parade wakati wana mechi ya FA.

Hii haikubaliki timu zetu zinazounganisha watu wote bila kujali itikadi zao kutumika kisiasa. Inafaa tuungane kukemea jambo hili kwa uwazi bila kujali chochote.
Hii nchi ukiwa tu na hela unakuwa ccm.
Ndivyo maisha yalivyo maana hata mijadala unayoisema,hawa wanaofuata yanga barabarani,hawawezi kusikiliza labda ingeambatana na miziki hit ya ngono
 
Ninazo taarifa kwamba Yanga ilikuwa ifanye gwaride la ubingwa baada ya kuhitimisha mechi ya FA dhidi ya Azam.

Lakini walifuatwa na mamlaka kuamliwa wafanye hivyo siku ya jumamosi ambayo ilikuwa siku ya kujadiliwa mkataba wa bandari.

Yanga wakalazimika kubadili program yao kuendana na matakwa ya kisiasa. Program ya wachezaji ilionyesha wangekuwa mazoezini kuendelea na maandalizi ya mechi ya FA. Kocha Nabi alihoji haraka ya kufanya parade wakati wana mechi ya FA.

Hii haikubaliki timu zetu zinazounganisha watu wote bila kujali itikadi zao kutumika kisiasa. Inafaa tuungane kukemea jambo hili kwa uwazi bila kujali chochote.
Wenye akili wote tulilijua hilo mapema tu Mkuu acha watumikie ufisadi lkn karma ipo juu yao.
 
Ninazo taarifa kwamba Yanga ilikuwa ifanye gwaride la ubingwa baada ya kuhitimisha mechi ya FA dhidi ya Azam.

Lakini walifuatwa na mamlaka kuamliwa wafanye hivyo siku ya jumamosi ambayo ilikuwa siku ya kujadiliwa mkataba wa bandari.

Yanga wakalazimika kubadili program yao kuendana na matakwa ya kisiasa. Program ya wachezaji ilionyesha wangekuwa mazoezini kuendelea na maandalizi ya mechi ya FA. Kocha Nabi alihoji haraka ya kufanya parade wakati wana mechi ya FA.

Hii haikubaliki timu zetu zinazounganisha watu wote bila kujali itikadi zao kutumika kisiasa. Inafaa tuungane kukemea jambo hili kwa uwazi bila kujali chochote.
Heh!!! 😂😂😂😅😅😂😅
 
Ninazo taarifa kwamba Yanga ilikuwa ifanye gwaride la ubingwa baada ya kuhitimisha mechi ya FA dhidi ya Azam.

Lakini walifuatwa na mamlaka kuamliwa wafanye hivyo siku ya jumamosi ambayo ilikuwa siku ya kujadiliwa mkataba wa bandari.

Yanga wakalazimika kubadili program yao kuendana na matakwa ya kisiasa. Program ya wachezaji ilionyesha wangekuwa mazoezini kuendelea na maandalizi ya mechi ya FA. Kocha Nabi alihoji haraka ya kufanya parade wakati wana mechi ya FA.

Hii haikubaliki timu zetu zinazounganisha watu wote bila kujali itikadi zao kutumika kisiasa. Inafaa tuungane kukemea jambo hili kwa uwazi bila kujali chochote.
Ukikemea wewe inatosha
 
kwaiyo kuanzia leo tukubaliane nchi nzima inashabikia yanga,maana km makolo wana mashabiki ktk hii nchi hao hao ndo waliopaswa kufatilia mijadala ya bandari siku iyo lkn kwakuwa watzwote ni yanga kila kitu kilikufa siku iyo
Aahaaaaaa

👏👏👏👏👏👏
 
MO alikuwa mbunge wa CCM,Mangungu mzee wa ahadi Hana deni na Dunduka pia alikuwa mbunge
 
Ninazo taarifa kwamba Yanga ilikuwa ifanye gwaride la ubingwa baada ya kuhitimisha mechi ya FA dhidi ya Azam.

Lakini walifuatwa na mamlaka kuamliwa wafanye hivyo siku ya jumamosi ambayo ilikuwa siku ya kujadiliwa mkataba wa bandari.

Yanga wakalazimika kubadili program yao kuendana na matakwa ya kisiasa. Program ya wachezaji ilionyesha wangekuwa mazoezini kuendelea na maandalizi ya mechi ya FA. Kocha Nabi alihoji haraka ya kufanya parade wakati wana mechi ya FA.

Hii haikubaliki timu zetu zinazounganisha watu wote bila kujali itikadi zao kutumika kisiasa. Inafaa tuungane kukemea jambo hili kwa uwazi bila kujali chochote.
Kaa kitako kwa kutulia, Yanga INA ratiba yake ya kupeleka makombe bungeni na medali za CAF kwa wabunge Dodoma.

Huu ni msimu utajaa makasiriko tu, subiri Mayele arudi kwenye majukumu ya Taifa lake.
 
Ninazo taarifa kwamba Yanga ilikuwa ifanye gwaride la ubingwa baada ya kuhitimisha mechi ya FA dhidi ya Azam.

Lakini walifuatwa na mamlaka kuamliwa wafanye hivyo siku ya jumamosi ambayo ilikuwa siku ya kujadiliwa mkataba wa bandari.

Yanga wakalazimika kubadili program yao kuendana na matakwa ya kisiasa. Program ya wachezaji ilionyesha wangekuwa mazoezini kuendelea na maandalizi ya mechi ya FA. Kocha Nabi alihoji haraka ya kufanya parade wakati wana mechi ya FA.

Hii haikubaliki timu zetu zinazounganisha watu wote bila kujali itikadi zao kutumika kisiasa. Inafaa tuungane kukemea jambo hili kwa uwazi bila kujali chochote.
Shida iko palepale.
 

Attachments

  • FB_IMG_1686607410508.jpg
    FB_IMG_1686607410508.jpg
    46.2 KB · Views: 3
Mbona utopolo ilianzishwa kupigania uhuru chini ya ccm,so hakuna jipya hapo!!
 
Back
Top Bottom