Yanga inaweza kua timu ya kwanza kufika nusu fainal CAF kutoka Tanzania

Yanga inaweza kua timu ya kwanza kufika nusu fainal CAF kutoka Tanzania

Yanga nusu fainali tunafika msimu huu

Mark my words

Only team ambaye nina hofu nayo ni Al Ahly tu sababu ya uzoefu wao.

Uzuri tumepangwa nae kundi moja.. hivyo robo hatukutani nae

Mamelodi hana mpira mkubwa wa kutufunga zaidi ya kutegemea jua la saa tisa mjini pretoria. Na kubebwa na marefa ili kulinda ajira zao sababu rais wa caf ndio mwenye timu.

Uzuri sisi ni weusi jua tunalimudu tutapigana nae kibabe kwenye jua
Mamelodi tuombe tu tusikutane nae aisee ... Hapa tutatoa ulimi nje
 
Unakua mbishi wakati hujui kitu, ligi ya mabingwa ilienda inabadilika Jina, hili total energies caf champions ni jipya na Toka iitwe hivyo Simba haijawahi kufika nusu fainali, ila mwaka 1974 Simba ilicheza nusu fainali champions league ila mdhamini hakua total energies.

Nikupe mfano mrahisi, ligi kuu Bara imekua ikibadilika Jina Mara kadhaa iliwahi kuitwa ligi daraja la kwanza, iliwahi kuitwa Vodacom premier league na Sasa inaitwa NBC premier league. Sasa akisema azam haijawahi kuchukua ubingwa Toka iwe NBC premier league hamaanishi kwamba haijawahi kuchukua ubingwa wa ligi kuu ila Toka iwe NBC ndio haijawahi kuchukua ubingwa. Ina maana unaposema Yanga ni mabingwa wa kihistoria wamechukua Mara 29 manake wanahesabu vikombe vyote vya ligi kuu bila kujali Kama ilikua inabadilika Jina. Jina halibadili league, league ni Ile Ile ila majina yanabadilika.
leta source ya CAF tupitie lazima CAF wana data
 
Ngoja waje wale wavaa madela red. Waanzilishi wa kila aina ya tred kuhusu YANGA,wakutupie mawe
 
Okoteza na wewe Kama rahisi, mwaka 1974 Simba ilicheza nusu fainali ya club bingwa Africa na ilitolewa Kwa matuta
Ilitolewa na timu gani, kutoka inchi gani?
Kweli huko ni mambumbumbu.
 
Tatizo hamtaki kukubali simba amewazidi kimataifa ndio maana mnashangilia kwenda robo fainali mpaka mnataka kufa haya nendeni kwenye page ya caf mmeambiwa mnaingia robo fainali kwa mara ya kwanza.
Kwahiyo we unaamini kua Simba imeshawahi kucheza fainali ya Afirican Champins ligae?

Niambie ni mwaka gani?
Mulicheza na timu kutoka inchi gani?
Hiyo timu inaitwaje?
Matokeo ya hiyo mechi yalikuaje?

Lasivyo kauli ya Rage iheshimiwe.
 
Kwahiyo we unaamini kua Simba imeshawahi kucheza fainali ya Afirican Champins ligae?

Niambie ni mwaka gani?
Mulicheza na timu kutoka inchi gani?
Hiyo timu inaitwaje?
Matokeo ya hiyo mechi yalikuaje?

Lasivyo kauli ya Rage iheshimiwe.
Cheki attachment hiyo
Screenshot_20240226-172441_Chrome.jpg
 
Hapa kanuni ya kurusha shilingi ilitunyima kuingia nusu fainali
 

Attachments

  • FB_IMG_17089618746562490.jpg
    FB_IMG_17089618746562490.jpg
    391.5 KB · Views: 2
Yanga nusu fainali tunafika msimu huu

Mark my words

Only team ambaye nina hofu nayo ni Al Ahly tu sababu ya uzoefu wao.

Uzuri tumepangwa nae kundi moja.. hivyo robo hatukutani nae

Mamelodi hana mpira mkubwa wa kutufunga zaidi ya kutegemea jua la saa tisa mjini pretoria. Na kubebwa na marefa ili kulinda ajira zao sababu rais wa caf ndio mwenye timu.

Uzuri sisi ni weusi jua tunalimudu tutapigana nae kibabe kwenye jua
Yanga akicheza Kama alivyocheza na cr belouzidad au simba au medeama Dar hakuna timu ya kuizuia .
Hata siku ya Al ahly Kama sio uzembe wa mwamnyeto ingeshinda .
 
Ilitolewa na timu gani, kutoka inchi gani?
Kweli huko ni mambumbumbu.
Aisee Kweli huko wenye akili wapo wawili tu, kula Madini hapo.


 
Kwahiyo mshafika nusu fainali au fainali?

Semeni mapema Ili tujue
Aisee Kweli huko wenye akili wapo wawili tu, kula Madini hapo.


W
 
Back
Top Bottom