Yanga inaweza kua timu ya kwanza kufika nusu fainal CAF kutoka Tanzania

Yanga inaweza kua timu ya kwanza kufika nusu fainal CAF kutoka Tanzania

Kama timu yako ilikula 5G na Yanga uruhusiwi kuikosoa hoja.
 
Unakua mbishi wakati hujui kitu, ligi ya mabingwa ilienda inabadilika Jina, hili total energies caf champions ni jipya na Toka iitwe hivyo Simba haijawahi kufika nusu fainali, ila mwaka 1974 Simba ilicheza nusu fainali champions league ila mdhamini hakua total energies.

Nikupe mfano mrahisi, ligi kuu Bara imekua ikibadilika Jina Mara kadhaa iliwahi kuitwa ligi daraja la kwanza, iliwahi kuitwa Vodacom premier league na Sasa inaitwa NBC premier league. Sasa akisema azam haijawahi kuchukua ubingwa Toka iwe NBC premier league hamaanishi kwamba haijawahi kuchukua ubingwa wa ligi kuu ila Toka iwe NBC ndio haijawahi kuchukua ubingwa. Ina maana unaposema Yanga ni mabingwa wa kihistoria wamechukua Mara 29 manake wanahesabu vikombe vyote vya ligi kuu bila kujali Kama ilikua inabadilika Jina. Jina halibadili league, league ni Ile Ile ila majina yanabadilika.
Unabishana na CAF wenyewe wao ndo waliosema hivyo na wenye mashindano
 
Unabishana na CAF wenyewe wao ndo waliosema hivyo na wenye mashindano
Simba mwaka 1974 alicheza Nusu final dhidi ya Ghazl el Mahalla na alitolewa kwa penalty 0-3 baada ya kila timu kushinda kwake 1-0.

So jamaa yuko sahihi.
 
Back
Top Bottom