Mamelodi tuombe tu tusikutane nae aisee ... Hapa tutatoa ulimi njeYanga nusu fainali tunafika msimu huu
Mark my words
Only team ambaye nina hofu nayo ni Al Ahly tu sababu ya uzoefu wao.
Uzuri tumepangwa nae kundi moja.. hivyo robo hatukutani nae
Mamelodi hana mpira mkubwa wa kutufunga zaidi ya kutegemea jua la saa tisa mjini pretoria. Na kubebwa na marefa ili kulinda ajira zao sababu rais wa caf ndio mwenye timu.
Uzuri sisi ni weusi jua tunalimudu tutapigana nae kibabe kwenye jua
Makolo walimjaba 7 horoyaKwani haya matokeo ya jana hakuna Timu toka Tanzania iliyoshinda zaidi ya goli 4 kwenye champions League?Au Yanga ndo Timu ya kwanza kufanya hivyo.
leta source ya CAF tupitie lazima CAF wana dataUnakua mbishi wakati hujui kitu, ligi ya mabingwa ilienda inabadilika Jina, hili total energies caf champions ni jipya na Toka iitwe hivyo Simba haijawahi kufika nusu fainali, ila mwaka 1974 Simba ilicheza nusu fainali champions league ila mdhamini hakua total energies.
Nikupe mfano mrahisi, ligi kuu Bara imekua ikibadilika Jina Mara kadhaa iliwahi kuitwa ligi daraja la kwanza, iliwahi kuitwa Vodacom premier league na Sasa inaitwa NBC premier league. Sasa akisema azam haijawahi kuchukua ubingwa Toka iwe NBC premier league hamaanishi kwamba haijawahi kuchukua ubingwa wa ligi kuu ila Toka iwe NBC ndio haijawahi kuchukua ubingwa. Ina maana unaposema Yanga ni mabingwa wa kihistoria wamechukua Mara 29 manake wanahesabu vikombe vyote vya ligi kuu bila kujali Kama ilikua inabadilika Jina. Jina halibadili league, league ni Ile Ile ila majina yanabadilika.
Jina linawapendeza sana kama dereva kizee na lori chakavu.Sawa.ila watabaki kuwa utopolo tu
Nasubiri uwekezaji wa utopolo ili wapuuzi wa Simba waamke waone kanjibai Kama alikuwa sahihi kupewa. Hati ya jengomimi nasema Uto watafika final inshallah,na iwe hivyo ili Simba yangu na mwekezaji wetu kanjanja tuamke.
Ni mabingwa wa vistori.Historia ina wenyewe.Mnajiita mabingwa wa kihistoria wakati hata historia hamuijui nenda kafatilie Simba mwaka 74 ilikuwa inawakilisha nchi gani
Nikusadie nini wakati wenye mashindano yao CAF hawa kuoni kwenye documents zao.Haya tusaidie timu zilizocheza nusu fainali 1974 caf champions league
ila wananchi bwana.....Naunga mkono hoja
View attachment 2915338
Ilitolewa na timu gani, kutoka inchi gani?Okoteza na wewe Kama rahisi, mwaka 1974 Simba ilicheza nusu fainali ya club bingwa Africa na ilitolewa Kwa matuta
Kwahiyo we unaamini kua Simba imeshawahi kucheza fainali ya Afirican Champins ligae?Tatizo hamtaki kukubali simba amewazidi kimataifa ndio maana mnashangilia kwenda robo fainali mpaka mnataka kufa haya nendeni kwenye page ya caf mmeambiwa mnaingia robo fainali kwa mara ya kwanza.
Cheki attachment hiyoKwahiyo we unaamini kua Simba imeshawahi kucheza fainali ya Afirican Champins ligae?
Niambie ni mwaka gani?
Mulicheza na timu kutoka inchi gani?
Hiyo timu inaitwaje?
Matokeo ya hiyo mechi yalikuaje?
Lasivyo kauli ya Rage iheshimiwe.
Mashudu Abiola Ndondo CupCheki attachment hiyoView attachment 2917183
Yanga akicheza Kama alivyocheza na cr belouzidad au simba au medeama Dar hakuna timu ya kuizuia .Yanga nusu fainali tunafika msimu huu
Mark my words
Only team ambaye nina hofu nayo ni Al Ahly tu sababu ya uzoefu wao.
Uzuri tumepangwa nae kundi moja.. hivyo robo hatukutani nae
Mamelodi hana mpira mkubwa wa kutufunga zaidi ya kutegemea jua la saa tisa mjini pretoria. Na kubebwa na marefa ili kulinda ajira zao sababu rais wa caf ndio mwenye timu.
Uzuri sisi ni weusi jua tunalimudu tutapigana nae kibabe kwenye jua
Aisee Kweli huko wenye akili wapo wawili tu, kula Madini hapo.Ilitolewa na timu gani, kutoka inchi gani?
Kweli huko ni mambumbumbu.
WAisee Kweli huko wenye akili wapo wawili tu, kula Madini hapo.
MJUAJI: Maajabu ya Simba Afrika mwaka 1974
SIO watu wengi wanaojua hili. Lakini kulikuwa na maajabu fulani hivi hadi Simba ilipofika nusu fainali ya Klabu Bingwa wa Afrika (sasa Ligi ya Mabingwa Afrika) mwaka 1974. Hadi chama hilo la...www.mwanaspoti.co.tz