Yanga ingesonga mbele, ingeshiriki Klabu bingwa ya Dunia ya FIFA, kila mshiriki anapewa Dollar Milioni 50 kwa kushiriki tu

Bora yametolewa yangetuaibisha sana na pira paki basi na butua.
 
Hivyo basi, Mamelodi anaenda kulamba Bilioni 125 kutoka FIFA kwa msaada wa yule kocha. Kiukweli kwa pesa nyingi namna hii, hata wewe ungekuwa refa, na Motsepe anakuwekea bilioni 5 mezani, utaenda kuangalia VAR?
hiyo ingetosha kabisa kujenga uwanja wao mpya.
 
Hivyo basi, Mamelodi anaenda kulamba Bilioni 125 kutoka FIFA kwa msaada wa yule kocha. Kiukweli kwa pesa nyingi namna hii, hata wewe ungekuwa refa, na Motsepe anakuwekea bilioni 5 mezani, utaenda kuangalia VAR?

hiyo ndio sababu kuu VAR official kumbeba mamelodi maa motsepe hasingekubali kukosa hizo hela za fifa
 
hiyo ndio sababu kuu VAR official kumbeba mamelodi maa motsepe hasingekubali kukosa hizo hela za fifa
Dduh, aiseee, kwa pesa hizi, hata hiyo barua tuliyoandikwa itatupwa kapuni, pesa ni nyingi sana hizi, hakuna atakaehongwa akazikataa, hata sijui itakuwaje, watakaomchunguza Motsepe nao wanalambishwa bilioni moja moja, wanafunga mdomo..
 
Africa ziende timu mbili timu za ulaya zitat
tupasua vibaya sana leo hii Yanga aende afu akawe kundi moja na Real madrid,Manchester city, Flamingo si aibu ya karne tupata Vilabu vya ulaya vimetuzid ubora mbali sana Africa ziende timu mbili tu au moja wazungu hawana mchezo kwenye soka kama sis
 
"MASHABIKI WA YANGA NI MAMBWA HAKUNA LOLOTE WANALOJUA KUHUSU KANDANDA ILA MUDA WOTE WANAZOMEA TU UTADHANI MANYANI" - DR LUC EYMAEL 2020
 
"MASHABIKI WA YANGA NI MAMBWA HAKUNA LOLOTE WANALOJUA KUHUSU KANDANDA ILA MUDA WOTE WANAZOMEA TU UTADHANI MANYANI" - DR LUC EYMAEL 2020
We dogo unaelekea kudata kwa aina comment zako.

Badilisha dealer wako atakupoteza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…