Yanga ingesonga mbele, ingeshiriki Klabu bingwa ya Dunia ya FIFA, kila mshiriki anapewa Dollar Milioni 50 kwa kushiriki tu

Yanga ingesonga mbele, ingeshiriki Klabu bingwa ya Dunia ya FIFA, kila mshiriki anapewa Dollar Milioni 50 kwa kushiriki tu

Yanga wamenufaika sana kwa maamuzi mabaya ya marefa na kujipatia points za dhulma huku vilabu vingine vikiugulia maumivu na wao kupata ubingwa wa mchongo. Wanavyoumia sasa wajue na vilabu vingine viliumia hivyo wawe wapole tu,malipo ni hapa hapa duniani.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] utasema yotee nakuambiaa. Mbona hapo badoo
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] utasema yotee nakuambiaa. Mbona hapo badoo
Kama wamelishwa usembe
Juzi kuna mtu alitaka kunipiga ngumi whasap
Yaani full burdaann
 
Hivyo basi, Mamelodi anaenda kulamba Bilioni 125 kutoka FIFA kwa msaada wa yule kocha. Kiukweli kwa pesa nyingi namna hii, hata wewe ungekuwa refa, na Motsepe anakuwekea bilioni 5 mezani, utaenda kuangalia VAR?
Kocha yupi?
Au ulimaanisha refa?
 
Hivyo basi, Mamelodi anaenda kulamba Bilioni 125 kutoka FIFA kwa msaada wa yule kocha. Kiukweli kwa pesa nyingi namna hii, hata wewe ungekuwa refa, na Motsepe anakuwekea bilioni 5 mezani, utaenda kuangalia VAR?
Kwa Mkapa, mngeifunga 5-0 haya yote yasingekuwepo. Tatizo mnapenda sifa sana. Bora meishia robo kama mwakarobo na nilitaka iwe hivyo maana mna kelele sana
Yanga inapiga mpira😁😁😁😁😁 yote kazi bure.
Angalia magoli ya TP Mazembe, hakuna haja ya kuangalia VAR. A
 
Bora yametolewa yangetuaibisha sana na pira paki basi na butua.
Wewe mwenye mpira mtamu mpira biriani, mpira urembo, mpira burudani, umelambwa na uliyemshangilia kwenye droo. Al Ahly wamekufundisha hawataki mazoea eti tunajuana huyu nusu fainali lazima. Tatu mzuka ukachezea.
Hapa chini mlikuwa mnashangilia droo wazee wa mpira wa mdomoni
 
Dduh, aiseee, kwa pesa hizi, hata hiyo barua tuliyoandikwa itatupwa kapuni, pesa ni nyingi sana hizi, hakuna atakaehongwa akazikataa, hata sijui itakuwaje, watakaomchunguza Motsepe nao wanalambishwa bilioni moja moja, wanafunga mdomo..
Uto waombe CAF ialike baadhi ya wajumbe wa kamati ya uchunguzi watoke FIFA/FBI/UEFA, itasaidia kupunguza rushwa au upendeleo.
 
Wengi tuuu. Hao kina Mkude si mlikuwa mnasema ni wazee leo hii ndiyo wanawabeba
Wengi halafu unaishia kutaja mmoja, kumbe moja sikuhizi ni wingi? Yanga imecheza na Al Ahly msimu huu mechi mbili na wametoka aggregate ya 0-1 sasa embu tu convince ni kwa namna gani Hersi asajili kikosi kizima cha Simba ndio impe mafanikio ikiwa tu imeonesha ndio kikosi kibovu kuliko hata alichokuwa nacho Hersi Saidi kwasasa. Mnafungwa goli 3 bila kujitetea halafu unaropoka Hersi asajili kikosi kizima cha Simba.
 
Wengi halafu unaishia kutaja mmoja, kumbe moja sikuhizi ni wingi? Yanga imecheza na Al Ahly msimu huu mechi mbili na wametoka aggregate ya 0-1 sasa embu tu convince ni kwa namna gani Hersi asajili kikosi kizima cha Simba ndio impe mafanikio ikiwa tu imeonesha ndio kikosi kibovu kuliko hata alichokuwa nacho Hersi Saidi kwasasa. Mnafungwa goli 3 bila kujitetea halafu unaropoka Hersi asajili kikosi kizima cha Simba.
Nimemtaja ambaye mlikuwa mnamnanga kuwa ni mzee halafu hivi sasa mpo naye na anawabeba. Muongeze Okrah katika hi list. Kama Mkude anacheza vizuri tu unadhani Manula na Ayoub hawawezi cheza Yanga tena kwa rotation kabisa na Diarra? Zimbwe hawezi cheza Yanga tena kwa rotation kabisa na Lomalisa? Kapombe hawezi cheza Yanga tena kwa rotation kabisa na Yao? Inonga hawezi cheza Yanga tena kwa kunyanganya kabisa watu namba? Che Malone hawezi cheza Yanga? Mzamiru hawezi cheza Yanga? Ngoma je? Chama mmekuwa mnamsajili kila msimu ila anaendelea kucheza Simba. Kibu ndiyo mlimteka kabisa kumlazimisha asaini. Utaniambia hao wamefika wangapi.

Mmecheza dakika 90 bila kulenga lango, nadhani Saido au Luis wangewasaidia maana wasingecheza dakika 90 bila angalau kulenga lango.
 
Ningeenda kuangalia halafu ningeiminyia kwa ndani
Refa anapoangalia VAR, huwa inarushwa live kwa kila mtu kuona. Kulingana na wachambuzi fulani SABC huko South Africa kitendo cha refa kutokufanya review ya VAR ndico kilichowazuia hata wao kuicheza back live kutoka angle tofauti ila wanasema kuwa mpira ulivuka mstari
 
Hivyo basi, Mamelodi anaenda kulamba Bilioni 125 kutoka FIFA kwa msaada wa yule refa. Kiukweli kwa pesa nyingi namna hii, hata wewe ungekuwa refa, na Motsepe anakuwekea bilioni 5 mezani, utaenda kuangalia VAR?
uongo mtupu, wanafuata ranking. Hadi sasa ni Esperance ndio anamzibia Mamelodi huku Ahly na Wydad zikiwa na tiketi tayari
 
Nimemtaja ambaye mlikuwa mnamnanga kuwa ni mzee halafu hivi sasa mpo naye na anawabeba. Muongeze Okrah katika hi list. Kama Mkude anacheza vizuri tu unadhani Manula hawezi cheza Yanga tena kwa rotation kabisa na Diarra? Zimbwe hawezi cheza Yanga tena kwa rotation kabisa na Lomalisa? Kapombe hawezi cheza Yanga tena kwa rotation kabisa na Yao? Inonga hawezi cheza Yanga tena kwa kunyanganya kabisa watu namba? Che Malone hawezi cheza Yanga? Mzamiru hawezi cheza Yanga? Ngoma je? Chama mmekuwa mnamsajili kila msimu ila anaendelea kucheza Simba. Kibu ndiyo mlimteka kabisa kumlazimisha asaini. Utaniambia hao wamefika wangapi.

Mmecheza dakika 90 bila kulenga lango, nadhani Saido au Luis wangewasaidia maana wasingecheza dakika 90 bila angalau kulenga lango.
Tumecheza mechi ipi bila kulenga goli vs nani Simba, Al Ahly au Mamelodi?
Kwahiyo hao wachezaji uliowataja ndio kikosi kizima cha Simba? Kama hao wachezaji uliowataja ni wazuri kuliko wachezaji waliopo Yanga basi msingefungwa goli tano na Yanga. Na hata msingefungwa goli tatu na Al Ahly.
 
uongo mtupu, wanafuata ranking. Hadi sasa ni Esperance ndio anamzibia Mamelodi huku Ahly na Wydad zikiwa na tiketi tayari
Al Ahly na Wydad wamefuzu kwavile ni mabingwa wa CAF champions league kwa msimu mitatu nyuma. Laiti kama Al Ahly na Wydad wasingejirudia basi mpaka sasa kungekuwa na timu ambazo zimeshafuzu kwa tiketi ya mabingwa hivyo bingwa wa msimu huu angeungana na hao kufikisha timu nne kisha timu moja ingechukuliwa upande wa ranking.

Ila kwavile Wydada na Al Ahly ndio timu pekee zilizobeba ubingwa ndani ya misimu mitatu hivyo inafanya upande wa ranking sichukuliwe timu mbili huku bingwa wa CAF champions league msimu huu atakuwa kafuzu moja kwa moja haijalishi kwenye rank ni wa ngapi. Ila endapo Al Ahly akabeba tena kombe, basi italazimika kuchukua timu tatu zingine kwa kuangalia upande ranking kwavile ndani ya misimu yote minne ni hakuna timu nyingine iliyobeba kombe zsidi ya Wydad na Al Ahly pekee
 
Back
Top Bottom