Its Pancho
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 15,966
- 26,404
- Thread starter
-
- #21
Safi sana bora umemuelewesha mkuuWakati unandika ulishirikisha akili sawa sawa, jibu hoja acha personalities, Fei Toto, anaibeba timu vizuri sana, Kaze ajajua hilo, kadri anacheza anaimarika.
Fei ni hazina kwa Taifa pia
Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
Nyani hatokaa alione kundule.. Hilo swali libadili kwenye Yanga waweke mikia na kwa GSM muweke mwamediKwa.mfano leo.GSM angatuke uwezo wa.timu.kusajili na kukopa.miahahara upo?
Hata moo akitoka Simba hamna kituKwa.mfano leo.GSM angatuke uwezo wa.timu.kusajili na kukopa.miahahara upo?
Amunike aliwahi sema Fei anaweza cheza timu yoyote.Wakati unandika ulishirikisha akili sawa sawa, jibu hoja acha personalities, Fei Toto, anaibeba timu vizuri sana, Kaze ajajua hilo, kadri anacheza anaimarika.
Fei ni hazina kwa Taifa pia
Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
Yaani mpaka yamesahau kudai zile 20 bil yasije yakamtibua Mwamedi!Kwani Simba, mo akitoka leo Mtafanya hizo vurugu kwa sasa?
Wakuu msimwite "Mo" huyo ni Mwamedi tu hakuna namna!Ni kama Kama MO aking'atuka SIMBA ....
Mmeanza wivu eeh? Kwani Yanga tuna ubaya gani kuwa naye?Kaze apewe Taifa Stars
Mmeanza wivu eeh? Kwani Yanga tuna ubaya gani kuwa nae
Sifa ya mtu kuwa na akili timamu ni kuwa na aibuAHSANTE MASHAKA JINA LA UTOPOLO LITADUMU KARNE NA KARNE. Mashaka Kapingo shabiki wa Yanga siku alipochefukwa na kipigo cha 3 bila dhidi ya Kagera ndipo akatuitie jina Utopolo.
Hakika jina limewapendeza na limewakaa vyema. Jina hili litadumu karne na karne.
Jina limefanana vyema na mashabiki wa Yanga wazee wa Utopolo na hata viongozi wao huwaona mashabiki Utopolo.
Huyu ndie aliyeibeba Yanga sasa.Lakini kiukweli Kaze anaujua mpira aisee, acha tu.
Mimi mwenyewe nimeshangaa sana, Feitoto?Mtoa mada apimwe mkojo !!
Yaani kale ka Fei ?Fei kale kenye macho ya kurembua kama mwanaasha wa Tanga !kimtu kinajiangusha kama gunia la viazi vibichi !kimtu akina Stamina aisee wwe rudia kuangalia mpira ndo uje na porojo nyngne znazoshawishi
Fei ana game na game, sio mchezaji mwenye maajabu haswa kama tunavyotaka kuamini.Sio yanga tu hadi taifa stars kama uliangalia game ya tunisia alivyoingia tu timu ikatulia
Embu rudia tena, Cadric Kaze hajajua nini?Wakati unandika ulishirikisha akili sawa sawa, jibu hoja acha personalities, Fei Toto, anaibeba timu vizuri sana, Kaze ajajua hilo, kadri anacheza anaimarika.
Fei ni hazina kwa Taifa pia
Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
nikuulize kwahiyo mchezaji gani aliwahi game zote vizuri?Mimi mwenyewe nimeshangaa sana, Feitoto?
Game ya Kwanza VPL akina Mukoko walianza Bench, Feitoto alicheza kitu gani mle ndani?
Kaze ni kochwa haswa aiseee.
Sent using Jamii Forums mobile app