Zitakuwa 12 kashinda mechi zote 4 [emoji23][emoji23]Unajitia aibu mkuu, mtoano hauna point, kwa akili yako utasema yanga kaingia makundi kwa points 6
Kwa ujinga wako kuna kundi la namna hiyo? Ujinga bana yan mnajazana mitandaoni kuandika ujinga. Huyo mwehu mwingine anadai knockout ina points huyu mbulula mwingine anasema ahly na mamelodi wawe group moja ukiuliza nao mashabiki wa mpira dah huu ni msiba mzito kwenye soka letuKundi tunalotaka tuwe Yanga Mamelody, Al Ahaly na Wydad
Sent from my Infinix X688C using JamiiForums mobile app
Tushachapwa 2-1 na IhefuNimeangalia mechi za Yanga na mechi za timu nyingine Afrika na Europe, Yanga hii inacheza vizuri kuliko Manchester United, Chelsea na Al-Ahly.
Kelele zitapungua sasa.Timu ya wachambuzi na Bodi ya Ligi.Tushachapwa 2-1 na Ihefu
Kama utapata watoto muombe Mungu wachukue akili ya mama yao,kama wamechukua ya baba na wewe ndio baba wamekwisha ,mshauri mke ajiongeze familia aiwezi kuwa na Dr,eng , CPA, pilotNimeangalia mechi za Yanga na mechi za timu nyingine Afrika na Europe, Yanga hii inacheza vizuri kuliko Manchester United, Chelsea na Al-Ahly.
Hilo ndio jina lako halisNimeangalia mechi za Yanga na mechi za timu nyingine Afrika na Europe, Yanga hii inacheza vizuri kuliko Manchester United, Chelsea na Al-Ahly.