Yanga isipocheza fainali za CAF champions niiteni zumbulugutu

Yanga isipocheza fainali za CAF champions niiteni zumbulugutu

Kundi tunalotaka tuwe Yanga Mamelody, Al Ahaly na Wydad

Sent from my Infinix X688C using JamiiForums mobile app
Kwa ujinga wako kuna kundi la namna hiyo? Ujinga bana yan mnajazana mitandaoni kuandika ujinga. Huyo mwehu mwingine anadai knockout ina points huyu mbulula mwingine anasema ahly na mamelodi wawe group moja ukiuliza nao mashabiki wa mpira dah huu ni msiba mzito kwenye soka letu
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Nimeangalia mechi za Yanga na mechi za timu nyingine Afrika na Europe, Yanga hii inacheza vizuri kuliko Manchester United, Chelsea na Al-Ahly.
Kama utapata watoto muombe Mungu wachukue akili ya mama yao,kama wamechukua ya baba na wewe ndio baba wamekwisha ,mshauri mke ajiongeze familia aiwezi kuwa na Dr,eng , CPA, pilot
 
Kama utapata watoto muombe Mungu wachukue akili ya mama yao,kama wamechukua ya baba na wewe ndio baba wamekwisha ,mshauri mke ajiongeze familia aiwezi kuwa na Dr,eng , CPA, pilot
Hujui ulisemalo na unachokisema.
 
Tushachapwa 2-1 na Ihefu
Hata man city inaweza kupoteza kwa Brighton, lakini hiyo haimaanishi kitu chochote kwenye mpira zaidi ya mpira tu na tabia zake.
 
Back
Top Bottom