Yanga itaendelea kufaidika na Feisal Salum kwa mujibu wa vipengele vya mkataba

uliona wapi club ikanufaika na mchezaji walievunja nae mkataba? au kwenye mpira umekuja kwasababu ya kubet
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wanachekesha hawa
 
Sidhani km kuna mkataba wa aina hiyo hapa Duniani. Khaaah
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Tangu utudanganye kuwa Feisal kanunuliwa kwa 350M huwa nasoma comments zako kwa tahadhari sana.Btw kubali kushauliwa una uandishi mbovu sana,jaribu kutulia na uandike kwa mtiririko wa kueleweka na utumie herufi sehemu husika ili usomeke kwa usahihi zaidi.
 
Huyu mleta mada wakati wa sakata la Feisal kuondoka alikuwa anatokwa povu la hatari mpaka akawa anaweka na bei itakayowalazimu watakaomnunua Feisal kuwa ni 350M.Tulimbishia sana na hakukubali,matokeo yake kina Hersi wakaficha aibu ya uhalisia wa transfer ya Feisal,tulipomuuliza akawa mkali kama pilipili kichaa.Huwa nasoma comments zake huku nacheka kila nikikumbuka alivyokuwa mbishi wakati wa kuondoka kwa Feisal
 
Unajiuliza swali na kujijibu mwenyewe, unasema mlibisha kuwa thamani ya feisal sio 350mil, wakati huo huo unasema transfer imefichwa kwa maana iyo akuna unachokijua zaidi ya ubishi wa umbumbuni! Inawezekana feisal aliondoka bure kwa mujibu wa akili yako na wenzako pia sio lazima wewe uamini au usiamini kwa kuwa auna mchango wowote utaongeza au kupunguza!
 
Kigezo cha elimu ili ujiunge hicho hakikubalik kwa sabab sis tusiosoma mtatubagua


Km vp kigezo hicho kitumike kwa atakayetaka kuweka thred
Mod huyu mdau ana hoja msikilizeni muifikishe kwa boss afanyie hii kitu kazi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…