Yanga itaendelea kuzifanya timu nyingi zionekane mbovu

Yanga itaendelea kuzifanya timu nyingi zionekane mbovu

Mtanzanias

JF-Expert Member
Joined
Jul 30, 2021
Posts
1,747
Reaction score
3,725
Kuna katabia fulani hivi kameanzishwa na mashabiki wale wafuasi wa Mangungu na Mhindi wa bombay kuwa kila yanga inaposhinda mechi wao wanasema timu ni mbovu iliyokutana na yanga, Ni lugha fulani hivi ya kujihami lakini vichwani mwao wanalo fundo kubwa la wivu, Unaposema yanga kakutana na mbovu inamaanisha mbovu namba moja ni timu yako kwakuwa inapasuliwa kila ikinusa pua yake, U.s monastries kapigwa 2 kwa mkapa, Real bamako kachukua 2 kwa mkapa, Tp mazembe kachukua 3kwa mkapa kwa maana iyo izo timu zote ni mbovu? Kutinga makundi yanga kampasua Club africain kwao tunisia alikuwa mbovu? Makolo wenyewe wamekuwa wakiambulia kichapo toka kwa yanga sasa unajiuliza ni timu gani itaonekana ni imara mbele ya yanga hii? Maana kadri siku zinavyozidi kusonga mbele na yanga ndio inavyozidi kutoa vichapo kwa wapinzani,,Tp mazembe kapigwa nje ndani na yanga tuwaulize vijana wa Rage mara ya mwisho kumfunga mazembe ilikuwa ni lini? Yanga kwa sasa ni timu inayocheza mpira unaangalia ukiwa unakula popcon kwa raha zako bila wasi wasi wowote, yanga ni timu ambayo unaweza kupanga kikosi cha pili na timu ikaperfom vile vile kama kikosi cha kwanza, Kwa maana iyo kadri muda unavyozidi kwenda timu mbovu zitazidi kuongezeka mbele ya yanga hii,, Na trh 14 timu nyingine mbovu inajiandaa kupokea kichapo,,,

N:B KILA TIMU ITAVUNA ILICHOPANDA KWENYE USAJILI
 
Ubora wa timu zote kwenye kundi lake ni upi?

Hii TP ndo ile ya 2014? Mara ya mwisho kuonekana timu tishio barani Africa.

Monastir, huko Tunisia anamtisha nani? Achilia mbali CAF.

Weka ubora wa timu alizokutana nazo Yanga kisha tuone ubora wa Yanga!
 
Kabisa mkuu......japo Mimi ni mwanasimba og ila ingawa tumepita robo fainali ila tumechukua pointi Kwa timu dhaifu mnoo

Mwisho wetu ni hapa
 
Mi naona Yanga inazidi kumfanya Manara aonekane alikuwa sahihi kwenye ile kauli yake
 
Kabisa mkuu......japo Mimi ni mwanasimba og ila ingawa tumepita robo fainali ila tumechukua pointi Kwa timu dhaifu mnoo

Mwisho wetu ni hapa
Hakuna mwanasimba mpumbavu kama wewe
 
Weka hata aya basi mwananchi, uandishi gani huu wa kipopoma.
 
Kuna katabia fulani hivi kameanzishwa na mashabiki wale wafuasi wa Mangungu na Mhindi wa bombay kuwa kila yanga inaposhinda mechi wao wanasema timu ni mbovu iliyokutana na yanga, Ni lugha fulani hivi ya kujihami lakini vichwani mwao wanalo fundo kubwa la wivu, Unaposema yanga kakutana na mbovu inamaanisha mbovu namba moja ni timu yako kwakuwa inapasuliwa kila ikinusa pua yake, U.s monastries kapigwa 2 kwa mkapa, Real bamako kachukua 2 kwa mkapa, Tp mazembe kachukua 3kwa mkapa kwa maana iyo izo timu zote ni mbovu? Kutinga makundi yanga kampasua Club africain kwao tunisia alikuwa mbovu? Makolo wenyewe wamekuwa wakiambulia kichapo toka kwa yanga sasa unajiuliza ni timu gani itaonekana ni imara mbele ya yanga hii? Maana kadri siku zinavyozidi kusonga mbele na yanga ndio inavyozidi kutoa vichapo kwa wapinzani,,Tp mazembe kapigwa nje ndani na yanga tuwaulize vijana wa Rage mara ya mwisho kumfunga mazembe ilikuwa ni lini? Yanga kwa sasa ni timu inayocheza mpira unaangalia ukiwa unakula popcon kwa raha zako bila wasi wasi wowote, yanga ni timu ambayo unaweza kupanga kikosi cha pili na timu ikaperfom vile vile kama kikosi cha kwanza, Kwa maana iyo kadri muda unavyozidi kwenda timu mbovu zitazidi kuongezeka mbele ya yanga hii,, Na trh 14 timu nyingine mbovu inajiandaa kupokea kichapo,,,

N:B KILA TIMU ITAVUNA ILICHOPANDA KWENYE USAJILI
Waache washupaze shingo,,
 
Ata Simba inaonekana masalo kwakua inatandikwa marakwamara na Yanga.
Ila na Simba akikutana na vibonde wenzake anaonekana kibonde aliye changamka.
 
Kuna katabia fulani hivi kameanzishwa na mashabiki wale wafuasi wa Mangungu na Mhindi wa bombay kuwa kila yanga inaposhinda mechi wao wanasema timu ni mbovu iliyokutana na yanga, Ni lugha fulani hivi ya kujihami lakini vichwani mwao wanalo fundo kubwa la wivu, Unaposema yanga kakutana na mbovu inamaanisha mbovu namba moja ni timu yako kwakuwa inapasuliwa kila ikinusa pua yake, U.s monastries kapigwa 2 kwa mkapa, Real bamako kachukua 2 kwa mkapa, Tp mazembe kachukua 3kwa mkapa kwa maana iyo izo timu zote ni mbovu? Kutinga makundi yanga kampasua Club africain kwao tunisia alikuwa mbovu? Makolo wenyewe wamekuwa wakiambulia kichapo toka kwa yanga sasa unajiuliza ni timu gani itaonekana ni imara mbele ya yanga hii? Maana kadri siku zinavyozidi kusonga mbele na yanga ndio inavyozidi kutoa vichapo kwa wapinzani,,Tp mazembe kapigwa nje ndani na yanga tuwaulize vijana wa Rage mara ya mwisho kumfunga mazembe ilikuwa ni lini? Yanga kwa sasa ni timu inayocheza mpira unaangalia ukiwa unakula popcon kwa raha zako bila wasi wasi wowote, yanga ni timu ambayo unaweza kupanga kikosi cha pili na timu ikaperfom vile vile kama kikosi cha kwanza, Kwa maana iyo kadri muda unavyozidi kwenda timu mbovu zitazidi kuongezeka mbele ya yanga hii,, Na trh 14 timu nyingine mbovu inajiandaa kupokea kichapo,,,

N:B KILA TIMU ITAVUNA ILICHOPANDA KWENYE USAJILI
mwanasimba mwenzangu yoyote atakayepinga hilo basi yeye ni dunduka lililooza
 
Ubora wa timu zote kwenye kundi lake ni upi?

Hii TP ndo ile ya 2014? Mara ya mwisho kuonekana timu tishio barani Africa.

Monastir, huko Tunisia anamtisha nani? Achilia mbali CAF.

Weka ubora wa timu alizokutana nazo Yanga kisha tuone ubora wa Yanga!
Mkuu kama hiyo TP sio ile ya 2014 je hii Yanga ndio ile ya 2014 au 2016?
 
Ubora wa timu zote kwenye kundi lake ni upi?

Hii TP ndo ile ya 2014? Mara ya mwisho kuonekana timu tishio barani Africa.

Monastir, huko Tunisia anamtisha nani? Achilia mbali CAF.

Weka ubora wa timu alizokutana nazo Yanga kisha tuone ubora wa Yanga!
Tp mazembe huyu huyu alimpiga simba mwaka jana kwenye simba day binadamu mmeumbwa kusahau duh!!!!😄😄😄😄😄😄
 
Mkuu kama hiyo TP sio ile ya 2014 je hii Yanga ndio ile ya 2014 au 2016?
Kwani kuna Yanga iliyowahi kutikisa Africa angalau mara moja kati ya miaka 40 iliyopita?

Yanga ni ile ile, ambayo leo inasheherekea kutinga robo fainali ya Best Loosers baada ya kufeli Champions.

Timu inayotegemea nani ni mtawala wa nchi ili i-prevail!
 
Kwani kuna Yanga iliyowahi kutikisa Africa angalau mara moja kati ya miaka 40 iliyopita?

Yanga ni ile ile, ambayo leo inasheherekea kutinga robo fainali ya Best Loosers baada ya kufeli Champions.

Timu inayotegemea nani ni mtawala wa nchi ili i-prevail!
Utakufa kwa stress wewe mbumbumbu, usikariri maisha ya jana sio ya leo na ya leo sio ya jana, mpira auko ivyo unavyofikilia, ndio maana misimu 2 nyuma yanga ilikuwa nae Moringa na yikpe lakini leo inao kina mayele, na pia misimu 2 nyuma simba ilikuwa na wakina miquison lakini leo inao wakina sawadogo nafikiri kama unazo akili sawasawa utakuwa umenielewa namaanisha nini
 
Kwani kuna Yanga iliyowahi kutikisa Africa angalau mara moja kati ya miaka 40 iliyopita?

Yanga ni ile ile, ambayo leo inasheherekea kutinga robo fainali ya Best Loosers baada ya kufeli Champions.

Timu inayotegemea nani ni mtawala wa nchi ili i-prevail!
Ooooh. Kumbe,, kama ni hivyo basi ni yaleyale tu. Kuna Simba iliyowahi kutikisa Africa hata mara moja ndani ya miaka 50 iliyopita? Sio kila mtu ni mbumbumbu jamani
 
Uto bhana hakika ni uto. Mleta mada wewe uliita horoya ni mbovu baada ya kufungwa na simba. Kwa hiyo unataka watanzania wote tuwaze kama akili yako inavyotaka kwamba wapinzani wanaofungwa na simba ndio wanakuwa wabovu ila wanaofungwa na uto wanakuwa wagumu. Hakika mi uto ni minafiki.
 
Ubora wa timu zote kwenye kundi lake ni upi?

Hii TP ndo ile ya 2014? Mara ya mwisho kuonekana timu tishio barani Africa.

Monastir, huko Tunisia anamtisha nani? Achilia mbali CAF.

Weka ubora wa timu alizokutana nazo Yanga kisha tuone ubora wa Yanga!
Timu gani cecafa inaweza zifunga timu zilizofungwa na yanga
 
Back
Top Bottom