Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ila yuko CL, Na nyie mnajiita kikosi imara mko losers, Al hilal aliwafurushaa km mwizii dadekiiii.Ata Simba inaonekana masalo kwakua inatandikwa marakwamara na Yanga.
Ila na Simba akikutana na vibonde wenzake anaonekana kibonde aliye changamka.
Akikujibu vile inapaswa nishtue mkuuMkuu kama hiyo TP sio ile ya 2014 je hii Yanga ndio ile ya 2014 au 2016?
Kwahiyo bora uto wana wenye akili wawiliSasa kwani kuna KOLO mwenye akili?
Timu zote zilizo Champions.Timu gani cecafa inaweza zifunga timu zilizofungwa na yanga
Simba ni kibonde wa Yanga, takwimu hazidanganyi.Timu zote zilizo Champions.
Walioko Champions wanao uwezo wa kuwafunga wote walio Confederation, kwahiyo kama kuna timu ya Cecafa ipo Champions, jua anao uwezo wa kuwakalisha Yanga na vibonde wake.
Usijari tunacheza naye hivi karibuni tuje tuiione huo ubora wakeKuna katabia fulani hivi kameanzishwa na mashabiki wale wafuasi wa Mangungu na Mhindi wa bombay kuwa kila yanga inaposhinda mechi wao wanasema timu ni mbovu iliyokutana na yanga, Ni lugha fulani hivi ya kujihami lakini vichwani mwao wanalo fundo kubwa la wivu, Unaposema yanga kakutana na mbovu inamaanisha mbovu namba moja ni timu yako kwakuwa inapasuliwa kila ikinusa pua yake, U.s monastries kapigwa 2 kwa mkapa, Real bamako kachukua 2 kwa mkapa, Tp mazembe kachukua 3kwa mkapa kwa maana iyo izo timu zote ni mbovu? Kutinga makundi yanga kampasua Club africain kwao tunisia alikuwa mbovu? Makolo wenyewe wamekuwa wakiambulia kichapo toka kwa yanga sasa unajiuliza ni timu gani itaonekana ni imara mbele ya yanga hii? Maana kadri siku zinavyozidi kusonga mbele na yanga ndio inavyozidi kutoa vichapo kwa wapinzani,,Tp mazembe kapigwa nje ndani na yanga tuwaulize vijana wa Rage mara ya mwisho kumfunga mazembe ilikuwa ni lini? Yanga kwa sasa ni timu inayocheza mpira unaangalia ukiwa unakula popcon kwa raha zako bila wasi wasi wowote, yanga ni timu ambayo unaweza kupanga kikosi cha pili na timu ikaperfom vile vile kama kikosi cha kwanza, Kwa maana iyo kadri muda unavyozidi kwenda timu mbovu zitazidi kuongezeka mbele ya yanga hii,, Na trh 14 timu nyingine mbovu inajiandaa kupokea kichapo,,,
N:B KILA TIMU ITAVUNA ILICHOPANDA KWENYE USAJILI
Simba anaweza mfungayanga!?Timu zote zilizo Champions.
Walioko Champions wanao uwezo wa kuwafunga wote walio Confederation, kwahiyo kama kuna timu ya Cecafa ipo Champions, jua anao uwezo wa kuwakalisha Yanga na vibonde wake.
Moja ya mashabiki watakaokufa kwa pressure tarehe 16 ni wewe.Simba ni kibonde wa Yanga, takwimu hazidanganyi.
Nishtue namiyeAkikujibu vile inapaswa nishtue mkuu
Shindeni CL na siye tushinde CC halafu tukutane super up Tuone nani atapasukaIla yuko CL, Na nyie mnajiita kikosi imara mko losers, Al hilal aliwafurushaa km mwizii dadekiiii.
Huki ni kwa wakubwaaa tyuuh. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Neno WEZA unalielewaje?Simba anaweza mfungayanga!?
Derby haipo mbaliNeno WEZA unalielewaje?
Vipers kampiga Yanga, Yanga kamfunga Simba, Vipers kafa kwa Simba
Vipers na Simba wamekaza Champions, Yanga katepeta mapeema.
Utanijuza!Derby haipo mbali
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] watu weuweeeeeeShindeni CL na siye tushinde CC halafu tukutane super up Tuone nani atapasuka
Aahaaaaahah[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] watu weuweeeeee
Simba ipo champions!?Timu zote zilizo Champions.
Walioko Champions wanao uwezo wa kuwafunga wote walio Confederation, kwahiyo kama kuna timu ya Cecafa ipo Champions, jua anao uwezo wa kuwakalisha Yanga na vibonde wake.
Huko kwenye kombe la wajane [emoji14][emoji2][emoji39][emoji3][emoji39][emoji2][emoji14][emoji2][emoji39][emoji3]Kuna katabia fulani hivi kameanzishwa na mashabiki wale wafuasi wa Mangungu na Mhindi wa bombay kuwa kila yanga inaposhinda mechi wao wanasema timu ni mbovu iliyokutana na yanga, Ni lugha fulani hivi ya kujihami lakini vichwani mwao wanalo fundo kubwa la wivu, Unaposema yanga kakutana na mbovu inamaanisha mbovu namba moja ni timu yako kwakuwa inapasuliwa kila ikinusa pua yake, U.s monastries kapigwa 2 kwa mkapa, Real bamako kachukua 2 kwa mkapa, Tp mazembe kachukua 3kwa mkapa kwa maana iyo izo timu zote ni mbovu? Kutinga makundi yanga kampasua Club africain kwao tunisia alikuwa mbovu? Makolo wenyewe wamekuwa wakiambulia kichapo toka kwa yanga sasa unajiuliza ni timu gani itaonekana ni imara mbele ya yanga hii? Maana kadri siku zinavyozidi kusonga mbele na yanga ndio inavyozidi kutoa vichapo kwa wapinzani,,Tp mazembe kapigwa nje ndani na yanga tuwaulize vijana wa Rage mara ya mwisho kumfunga mazembe ilikuwa ni lini? Yanga kwa sasa ni timu inayocheza mpira unaangalia ukiwa unakula popcon kwa raha zako bila wasi wasi wowote, yanga ni timu ambayo unaweza kupanga kikosi cha pili na timu ikaperfom vile vile kama kikosi cha kwanza, Kwa maana iyo kadri muda unavyozidi kwenda timu mbovu zitazidi kuongezeka mbele ya yanga hii,, Na trh 14 timu nyingine mbovu inajiandaa kupokea kichapo,,,
N:B KILA TIMU ITAVUNA ILICHOPANDA KWENYE USAJILI
Hapana, ni Klabu bingwa!Simba ipo champions!?