Yanga itaendelea kuzifanya timu nyingi zionekane mbovu

Ata Simba inaonekana masalo kwakua inatandikwa marakwamara na Yanga.
Ila na Simba akikutana na vibonde wenzake anaonekana kibonde aliye changamka.
Ila yuko CL, Na nyie mnajiita kikosi imara mko losers, Al hilal aliwafurushaa km mwizii dadekiiii.

Huki ni kwa wakubwaaa tyuuh. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Timu gani cecafa inaweza zifunga timu zilizofungwa na yanga
Timu zote zilizo Champions.

Walioko Champions wanao uwezo wa kuwafunga wote walio Confederation, kwahiyo kama kuna timu ya Cecafa ipo Champions, jua anao uwezo wa kuwakalisha Yanga na vibonde wake.
 
Timu zote zilizo Champions.

Walioko Champions wanao uwezo wa kuwafunga wote walio Confederation, kwahiyo kama kuna timu ya Cecafa ipo Champions, jua anao uwezo wa kuwakalisha Yanga na vibonde wake.
Simba ni kibonde wa Yanga, takwimu hazidanganyi.
 
Usijari tunacheza naye hivi karibuni tuje tuiione huo ubora wake
 
Timu zote zilizo Champions.

Walioko Champions wanao uwezo wa kuwafunga wote walio Confederation, kwahiyo kama kuna timu ya Cecafa ipo Champions, jua anao uwezo wa kuwakalisha Yanga na vibonde wake.
Simba anaweza mfungayanga!?
 
Ila yuko CL, Na nyie mnajiita kikosi imara mko losers, Al hilal aliwafurushaa km mwizii dadekiiii.

Huki ni kwa wakubwaaa tyuuh. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Shindeni CL na siye tushinde CC halafu tukutane super up Tuone nani atapasuka
 
Neno WEZA unalielewaje?

Vipers kampiga Yanga, Yanga kamfunga Simba, Vipers kafa kwa Simba

Vipers na Simba wamekaza Champions, Yanga katepeta mapeema.
Derby haipo mbali
 
Robo final yanga inakutana na
1.USM ALGER
2.PYRAMID
3.RIVERS UNITED
aisee kazi si ndogo hata kidogo hapo ni kupiga kazi hadi jasho ligeuke chumvi
 
Timu zote zilizo Champions.

Walioko Champions wanao uwezo wa kuwafunga wote walio Confederation, kwahiyo kama kuna timu ya Cecafa ipo Champions, jua anao uwezo wa kuwakalisha Yanga na vibonde wake.
Simba ipo champions!?
 
Huko kwenye kombe la wajane [emoji14][emoji2][emoji39][emoji3][emoji39][emoji2][emoji14][emoji2][emoji39][emoji3]

Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…