permanides
JF-Expert Member
- May 18, 2013
- 11,682
- 14,241
Ushahidi uliopo ni Ulimboka Mwangikwe alikamatwa na pesa akizipeleka Mtibwa ili Simba ishinde.Hiyo Sheria ya kusema duniani kote timu hupimwa kwa mashindano ya nje imewekwa na nani? Au ni mawazo yako tu?
Kwahiyo kaiser chiefs kipindi anashika nafasi ya 8 kwenye ligi huku akifika fainali ya CAF alikua bora sana kuliko mamelods aliyekua bingwa wa south?
Toka muanze kuongea ishu ya bahasha mpaka Leo hakuna aliyejitokezq kupeleka ushahidi TFF au FIFA Ili tushushwe kabisa daraja?
Ndo nimemwambia hapa alete ushahidi wa Yanga kukamatwa na bahashaUshahidi uliopo ni Ulimboka Mwangikwe alikamatwa na pesa akizipeleka Mtibwa ili Simba ishinde.
Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
Weka na ya SimbaHome vs MAZEMBE : Loss - 0 Points
Away vs Real Bamako: Loss - 0 Points
Home vs Real Bamako: Draw/Win -1/3 Points
Home vs Monastir: Draw/Loss - 1/0 Points
Away vs MAZEMBE: Loss - 0 Points
Total Points: 4 or Less
🙆🏽♂️🙆🏽♂️🙆🏽♂️ Hakuna Robo Fainali ya Points 4 hata kama ni Kombe la Ma-loosers...😂😂😂
WEKA HII RISITI.... 😆😆
Mashindano ya CAFCL & CAFCC hayo ndo kipimo cha ubora kwa klabu zote wanachama kama klabu haishiriki au kufanya vyema huko itabakia kua mbovu tu hata klabu ibebe ubingwa mara zote. Halaf kwenye soka kuna kitu kinaitwa STANDARD yan klabu ikisha set standard yake yaan kuizid ni mpaka klabu nyingine uizidi hiyo standard(POINT), ko Sundowns walisha set standard yao ko kumzid mpaka uipite hiyo standard yake hata kama akimaliza vibaya kwenye msimu huo.Hiyo Sheria ya kusema duniani kote timu hupimwa kwa mashindano ya nje imewekwa na nani? Au ni mawazo yako tu?
Kwahiyo kaiser chiefs kipindi anashika nafasi ya 8 kwenye ligi huku akifika fainali ya CAF alikua bora sana kuliko mamelods aliyekua bingwa wa south?
Toka muanze kuongea ishu ya bahasha mpaka Leo hakuna aliyejitokezq kupeleka ushahidi TFF au FIFA Ili tushushwe kabisa daraja?
Mbona unajichanganya sasa kwahiyo kipindi kaizer anacheza fainali alikua bora kuliko mamelods? Hilo ndo lilikua swali.Mashindano ya CAFCL & CAFCC hayo ndo kipimo cha ubora kwa klabu zote wanachama kama klabu haishiriki au kufanya vyema huko itabakia kua mbovu tu hata klabu ibebe ubingwa mara zote. Halaf kwenye soka kuna kitu kinaitwa STANDARD yan klabu ikisha set standard yake yaan kuizid ni mpaka klabu nyingine uizidi hiyo standard(POINT), ko Sundowns walisha set standard yao ko kumzid mpaka uipite hiyo standard yake hata kama akimaliza vibaya kwenye msimu huo.
Acha kukaza ubongo basi kwenye mpira kuna FORM na STANDARD, hivi ni vitu viwili tofauti yani wewe unataka kulazimisha vifanane au kuvilinganisha. FORM is temporary & STANDARD is permanent.... Sasa Standard ndo inatoa ubora wa timu na sio Form.Mbona unajichanganya sasa kwahiyo kipindi kaizer anacheza fainali alikua bora kuliko mamelods? Hilo ndo lilikua swali.
Tusibishane cha muhimu Yanga vs Tp mazembe ni jumapili tutapata majibu.Acha kukaza ubongo basi kwenye mpira kuna FORM na STANDARD, hivi ni vitu viwili tofauti yani wewe unataka kulazimisha vifanane au kuvilinganisha. FORM is temporary & STANDARD is permanent.... Sasa Standard ndo inatoa ubora wa timu na sio Form.
Nina kila sababu za kukuita mwehuLigi ya ndani tu Ihefu inawatoa jasho. Mkishinda sana goli 1-0 la taabu
Nina kila sababu za kukuita mbumbumbuTeheheeeeeeeeeeeeeeee,yanga hii hii ya kubebwa kwenye ligi ya bongo?
Ngoma zilipigwa jana tena sio moja...mweh wewkwa Yanga hii watapigwa kama ngoma tu
Mbumbumbu babakoNina kila sababu za kukuita mbumbumbu
Timu mbovu imechapwa jana 3 nunge..mweh wewUtopolo ni timu mbovu sana.
SawaKwenye makaratasi mnashinda 5-0, ila kama game inapigwa uwanjani kaa kwa kutulia...
Game za ligi kuu tu ushindi wenu kila siku ni 1-0, mpaka mpangiwe timu ya daraja la nne ASFC ndio muifunge 7-0[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Kumbe[emoji848]Yanga ndio underdog kwenye ilo kundi. Kila mmoja anamuona ndio pakupatia points.
Uko vizuriKwa kikosi cha Yanga sioni kama hawa TP Mazembe kama watatoboa. Cheki kikosi hiki;
Diarra
D. shaban
Lomalisa
Job
Doumbia
Bangala litombo
Aucho
Aziz key
Kenedy Musonda
Mayele
Paza tena sautiKwenye makaratasi mnashinda 5-0, ila kama game inapigwa uwanjani kaa kwa kutulia...
Game za ligi kuu tu ushindi wenu kila siku ni 1-0, mpaka mpangiwe timu ya daraja la nne ASFC ndio muifunge 7-0[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Umepanic mbumbumbu dundukaMbumbumbu babako