Yanga Jezi mpya safi sana, lakini tangazo la mgongoni limezichafua sana.

Yanga Jezi mpya safi sana, lakini tangazo la mgongoni limezichafua sana.

kavulata

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2012
Posts
13,778
Reaction score
14,214
Tangazo la BOOST limewekwa vibaya kwenye karatasi nyeupe na kubwa mno kiasi kwamba limechafua jezi. Jezi za 45,000 kila moja lakini watu wanaogopa kuzivaa kwasababu ya mtangazo mkuuubwa sana ulibandikwa vibaya mgongoni.

Tangazo lile la mdhamini lirekebishwe ili kuboresha muonekano wa biashara lakini na jezi. .
 
Tangazo tunatamba nalo 💚💛
20240815_114710.jpg
 
Tangazo la BOOST limewekwa vibaya kwenye karatasi nyeupe na kubwa mno kiasi kwamba limechafua jezi. Jezi za 45,000 kila moja lakini watu wanaogopa kuzivaa kwasababu ya mtangazo mkuuubwa sana ulibandikwa vibaya mgongoni.

Tangazo lile la mdhamini lirekebishwe ili kuboresha muonekano wa biashara lakini na jezi. .
Lete....
 
Tangazo la BOOST limewekwa vibaya kwenye karatasi nyeupe na kubwa mno kiasi kwamba limechafua jezi. Jezi za 45,000 kila moja lakini watu wanaogopa kuzivaa kwasababu ya mtangazo mkuuubwa sana ulibandikwa vibaya mgongoni.

Tangazo lile la mdhamini lirekebishwe ili kuboresha muonekano wa biashara lakini na jezi. .
Waulize wenzio, ni masharti ya mganga hayo lazima kuwe na kaweupe katika jezi zenu ili nyota ya Simba mliyoiiba iweze fanya kazi.

Nalile lilokaa makalioni kwa wale wenye vimo vifupi na lilokaa kiunoni kama shanga kwa wale wenye vimo virefu tuliiteje au lile halija chafua jezi.
Ni suala la muda kabla vyura hamjaweka matangazo maeneo hayo hayo na wakati huo ukifika mtakausha kama vile hamkuwahi kutumia nguvu nyingi kuyakejeli. Huwa hamjifunzi tu kuwa mitazamo na kauli zenu nyingi kuhusu Simba zimejaa unafki na roho ya kwa nini....
 
Waulize wenzio, ni masharti ya mganga hayo lazima kuwe na kaweupe katika jezi zenu ili nyota ya Simba mliyoiiba iweze fanya kazi.


Ni suala la muda kabla vyura hamjaweka matangazo maeneo hayo hayo na wakati huo ukifika mtakausha kama vile hamkuwahi kutumia nguvu nyingi kuyakejeli. Huwa hamjifunzi tu kuwa mitazamo na kauli zenu nyingi kuhusu Simba zimejaa unafki na roho ya kwa nini....
Kwa nyie mshazoea Mo kukaa makalioni na kiunoni. Sasa tukuonee gere kwa lipi ulikuwa nalo.Sasa ww lini uliwahi kuipenda Yanga au kuombea mazuri.
 
Kumbe jezi ni 45k na simba bei ikoje,nataka nikimpiga kanjibhai niagize
 
Kwa nyie mshazoea Mo kukaa makalioni na kiunoni. Sasa tukuonee gere kwa lipi ulikuwa nalo.Sasa ww lini uliwahi kuipenda Yanga au kuombea mazuri.
Halafu Mo sijui alikufanya nini, kutwa hauachi kumuongelea. Sasa ile logo ya Mo pale ni makalioni, mbona kichwa chako umekijaza uchafu ndugu yangu?
 
Ukitaka vita sasa hivi zungumza chochote kibaya kuhusu yanga ndio ujue bongo kuna mashabiki wa team sio mpira.
 
Mashabiki/wafuasi/wanachama wengi wa Simba mnaamini sana mambo ya nyota, ulozi, uchawi & ushirikina
Halafu utashangaa wanaoruka ukuta na kutumia milango isiyo rasmi wanajinasibu kama watakatifu na wanaendeshwa kiprofesheno
 
Sihubiri uchawi maana naamini mpaji ni Mungu ila uchawi upo maana hata maandiko yanasema hivyo
Sasa changamoto inakua ukisharuhusu akili yako kuamini hayo mambo wakati mwngn utajikuta unareason vitu vingi ktk mrengo huo
 
Halafu Mo sijui alikufanya nini, kutwa hauachi kumuongelea. Sasa ile logo ya Mo pale ni makalioni, mbona kichwa chako umekijaza uchafu ndugu yangu?
Sasa Mo si ndiye mmiliki huwezi kumtenganisga Mo na 5imba ni sawa utenganishe bil 20 na 5imba haiwezekani.Kwani Mo hayupo makalioni au kiunoni mwajezi yenu?
 
Back
Top Bottom