Yanga Jezi mpya safi sana, lakini tangazo la mgongoni limezichafua sana.

Yanga Jezi mpya safi sana, lakini tangazo la mgongoni limezichafua sana.

Waulize wenzio, ni masharti ya mganga hayo lazima kuwe na kaweupe katika jezi zenu ili nyota ya Simba mliyoiiba iweze fanya kazi.


Ni suala la muda kabla vyura hamjaweka matangazo maeneo hayo hayo na wakati huo ukifika mtakausha kama vile hamkuwahi kutumia nguvu nyingi kuyakejeli. Huwa hamjifunzi tu kuwa mitazamo na kauli zenu nyingi kuhusu Simba zimejaa unafki na roho ya kwa nini....
mo kaweka tangazo lake la mo Dewj foundation matakoni kabisa kwa wavaaji, ni heri hata lile la G BOOST
 
Sasa Mo si ndiye mmiliki huwezi kumtenganisga Mo na 5imba ni sawa utenganishe bil 20 na 5imba haiwezekani.Kwani Mo hayupo makalioni au kiunoni mwajezi yenu?
Duh bado unawaza makalio tu? Kwa hiyo wewe ukimuona Kibu unawaza makalio yake? Aiseeee.....
 
mo kaweka tangazo lake la mo Dewj foundation matakoni kabisa kwa wavaaji, ni heri hata lile la G BOOST
Bila picha tutakuamini vipi? Post picha walau moja ya mchezaji wa Simba ambaye makalioni kuna hilo tangazo ili tumalize huu mzizi wa fitna
 
Jezi za Batiki na kitenge
Ile ni jezi na mtoko pia hapohapo. Mbunifu aliumiza akili yake kwelikweli kubuni, sio kama ile ya upande wa pili, hakuna ubunifu wowote zaidi ya kubandilia mo mo mo mo kwenye fulana moja. Nenda kaguse Ile jezi uone hata kitambaa kilichotumika halafu ulinganishe na zile.
 
Wengi wamekupinga ila kiukweli lile Tangazo ukubwa wake umeharibu mwonekano wa jezi
 
Wengi wamekupinga ila kiukweli lile Tangazo ukubwa wake umeharibu mwonekano wa jezi
UTADHANI JEZI ZINAGAWIWA BURE WATU WAVAE. Huwezi kuweza mtangazo mkubwa vile kwenye jezi inayouzwa 45,000
 
Back
Top Bottom