mo kaweka tangazo lake la mo Dewj foundation matakoni kabisa kwa wavaaji, ni heri hata lile la G BOOSTWaulize wenzio, ni masharti ya mganga hayo lazima kuwe na kaweupe katika jezi zenu ili nyota ya Simba mliyoiiba iweze fanya kazi.
Ni suala la muda kabla vyura hamjaweka matangazo maeneo hayo hayo na wakati huo ukifika mtakausha kama vile hamkuwahi kutumia nguvu nyingi kuyakejeli. Huwa hamjifunzi tu kuwa mitazamo na kauli zenu nyingi kuhusu Simba zimejaa unafki na roho ya kwa nini....
Duh bado unawaza makalio tu? Kwa hiyo wewe ukimuona Kibu unawaza makalio yake? Aiseeee.....Sasa Mo si ndiye mmiliki huwezi kumtenganisga Mo na 5imba ni sawa utenganishe bil 20 na 5imba haiwezekani.Kwani Mo hayupo makalioni au kiunoni mwajezi yenu?
Bila picha tutakuamini vipi? Post picha walau moja ya mchezaji wa Simba ambaye makalioni kuna hilo tangazo ili tumalize huu mzizi wa fitnamo kaweka tangazo lake la mo Dewj foundation matakoni kabisa kwa wavaaji, ni heri hata lile la G BOOST
Sasa kwani Mo Foundation inakaa wapi mpaka hili unata tubishane?Duh bado unawaza makalio tu? Kwa hiyo wewe ukimuona Kibu unawaza makalio yake? Aiseeee.....
Post picha tuone hayo makalio unayoyawaza acha longolongoSasa kwani Mo Foundation inakaa wapi mpaka hili unata tubishane?
Ile ni jezi na mtoko pia hapohapo. Mbunifu aliumiza akili yake kwelikweli kubuni, sio kama ile ya upande wa pili, hakuna ubunifu wowote zaidi ya kubandilia mo mo mo mo kwenye fulana moja. Nenda kaguse Ile jezi uone hata kitambaa kilichotumika halafu ulinganishe na zile.Jezi za Batiki na kitenge
Ngoja wakatumie uchawi wao kucheza na Elephant heroes ya Gambia huko shirikishoNdio maana timu Yao inaishia kufanya vibaya tu Cc ephen_
πππNgoja wakatumie uchawi wao kucheza na Elephant heroes ya Gambia huko shirikisho
Ni zetusticker wamelibandika vibayavibaya pale mgongoni utadhaniii..... Imesababisha sijakitafuta hicho kinywaji bado.