Yanga jiandaeni na parade jingine msimu wa 2023/2024 hakuna timu ya kuwazuia

Yanga jiandaeni na parade jingine msimu wa 2023/2024 hakuna timu ya kuwazuia

Majok majok

JF-Expert Member
Joined
Aug 3, 2023
Posts
783
Reaction score
2,057
Ni suala la muda tu pumba na mchele vitajitenga, nimeona timu zote Azam, simba na Yanga na nimejiridhisha ya kuwa bila kupepesa macho wala kutikisa masikio Wananchi waendelee kutamba mjini bado wanayo timu bora ambayo inakwenda kutwaa tena ndoo kwa mara nyingine!

Kutoa mapovu ni ruksa but haitobadili chochote! Kuna vitu vingi Sana vya kiufundi nilivyoona kwenye mechi ya leo jambo ambalo limenipa picha ya nini kinakwenda kutokea mwisho wa msimu baada ya kulinganisha vikosi vya timu zote tatu vinavyopigania ubingwa kila mwaka!

Wahenga walisema usimwamshe aliyelala unaweza ukalala wewe, najua Master Gamond alikuwa na daftari lake anapiga tiki kila eneo uku akishushia mvinyo taratiiibu kwa madaha!

N;B naomba uzi huu uwekwe mahala salama for reference mwisho wa msimu💪💪💪💪
 
.
 

Attachments

  • F22e1u7WIAIAVvF.jpeg
    F22e1u7WIAIAVvF.jpeg
    25.5 KB · Views: 1
Yani mmeamua mje na propaganda za ain hyo? Hivi kwa ukuta ule mtaambulia hata goli moja kweli? Au mtakua mnacheza amapiano za skubidubiduuu ile namba 6 Ngoma mtamkumbuka Fei
 
Yani mmeamua mje na propaganda za ain hyo? Hivi kwa ukuta ule mtaambulia hata goli moja kweli? Au mtakua mnacheza amapiano za skubidubiduuu ile namba 6 Ngoma mtamkumbuka Fei
Pale hakuna ukuta usidanganywe na bonanza... Muda c mrefu mtamkumbuka Unyango
 
Yani mmeamua mje na propaganda za ain hyo? Hivi kwa ukuta ule mtaambulia hata goli moja kweli? Au mtakua mnacheza amapiano za skubidubiduuu ile namba 6 Ngoma mtamkumbuka Fei
Mnadanganywa na ilo bonanza lenu, Angalia kwanza aina ya timu uliyocheza nayo kiwango chake, iyo beki yenu si ilikuwa likizo? Niambie ni heka heka gani wamepata labda toka kwa washambuliaji?
 
Yani mmeamua mje na propaganda za ain hyo? Hivi kwa ukuta ule mtaambulia hata goli moja kweli? Au mtakua mnacheza amapiano za skubidubiduuu ile namba 6 Ngoma mtamkumbuka Fei
Yanga ni muunganiko wa wachezaji 11 ndio usikii hata siku 1 wakilalamika mchezaji flan asipopangwa,endeleeni kukariri na mihemko yenu ndio faraja kwetu
 
Watu wanaokula ugolo bana 😂😂😂😂😂🐸🐸🐸🐸🐸
 
Yanga ni muunganiko wa wachezaji 11 ndio usikii hata siku 1 wakilalamika mchezaji flan asipopangwa,endeleeni kukariri na mihemko yenu ndio faraja kwetu
Muunganiko wa kupata goli moja tuu kila mechi? Mkizidi sana 2? Simba ambayo haina muunganiko ilimtoa mwenye assist nyingi kuliko wote,ilimtoa na top scorer au ule ulikua sio muunganiko ni mpasuko? Na kwa sasa nyie jilisheni matango pori kuwa timu haina muunganiko mchezee za uso
 
Mnadanganywa na ilo bonanza lenu, Angalia kwanza aina ya timu uliyocheza nayo kiwango chake, iyo beki yenu si ilikuwa likizo? Niambie ni heka heka gani wamepata labda toka kwa washambuliaji?
Nyie ni kama wanga tuu..hawana jema wanaweza kuloga hata kifarang...timu bingwa wa Zambia unasema nini?
 
Back
Top Bottom