Unaweza kuwa bingwa miongoni mwa vilaza, kumbuka ata kwenye wajinga lazima apatikane mwenye unafuu kuliko wengine!Nyie ni kama wanga tuu..hawana jema wanaweza kuloga hata kifarang...timu bingwa wa Zambia unasema nini?
Aahaaaaa,mkuu punguza povuMxenge wewe una kariri kandanda, Young Africans khumaaa tu. πππππ
Bingwa alikua nani?Muunganiko wa kupata goli moja tuu kila mechi? Mkizidi sana 2? Simba ambayo haina muunganiko ilimtoa mwenye assist nyingi kuliko wote,ilimtoa na top scorer au ule ulikua sio muunganiko ni mpasuko? Na kwa sasa nyie jilisheni matango pori kuwa timu haina muunganiko mchezee za uso
Kama nyie huku ni vilaza eti ee? Au mnakubali kumshinda mnyama ni bonge la credit?.Unaweza kuwa bingwa miongoni mwa vilaza, kumbuka ata kwenye wajinga lazima apatikane mwenye unafuu kuliko wengine!
Ubingwa gani huo wa kununua mechi? π π π πΈBingwa alikua nani?
Tena hili povu naongezea sabuni + maji liwe la kutosha..... πππππAahaaaaa,mkuu punguza povu
Ipi hiyo?post yako.. itafutika kwenye ngao Ya hisan..
Mkimfunga azam niite mbwa.
Wewe sio mbwa bali ni Jibwa Koko tena yale ya MahospitaliMkimfunga azam niite mbwa.
Ile ngao ya hisani ya mwaka jana kumbe mlituuzia?Ubingwa gani huo wa kununua mechi? [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji196]
fainali.. Yanga vs SimbaIpi hiyo?