Yanga kesho njia nyeupe kuelekea Robo fainali

Anaefahamu wapi naweza pata mganga wa Simba anijuze..🤣🤣🤣🤣
 
Baada ya kuchapwa kwny uzi wako umesarendaaa...
Na nyie logeni mfunge 8
 
Kwenye mwiko nyuma ndo pananifabya nishangilie wageni haiwezekani mwiko niushangilie [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Simba hongereni Sana watani Ila muache kuroga😁
Hawa jamaa kwa urozi wametuzidi aisee.

Wamewageuza watoto wa watu kuwa zombies yaan uwanjan wakawa kama mataahira hv.

Kweli simba kwa uchawi kiboko
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…