SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 47,706
- 69,281
Nenda kachambe utakaa na kinyesi kwenye chupi hadi lini?Baada ya kuwapigia soka Safi real bamako, kesho ni usiku wa kisasi mje kushuhudia pira Safi.
Simba hongereni Sana watani Ila muache kuroga[emoji16]
Mbona unaumia Sana mkuuNenda kachambe utakaa na kinyesi kwenye chupi hadi lini?
Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] twende nikupelekeeee.Anaefahamu wapi naweza pata mganga wa Simba anijuze..[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nyie utopoloo mnakwamaaa wapiiiiiii?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hawa jamaa kwa urozi wametuzidi aisee.
Wamewageuza watoto wa watu kuwa zombies yaan uwanjan wakawa kama mataahira hv.
Kweli simba kwa uchawi kiboko
Ndo maan akeeee,.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sijalala nashingilia ushindi unue wakifungwa hayatuhusu wakishinda Kila la heri
Huna marinda weweMbona unaumia Sana mkuu
Au unatak tuipasue spika hiyo nyuma uko
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]Ndo maan akeeee,.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Na hatujari wala nn
Ndiwoooooo[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
Mkaandike na nyieMpira uliandikwa jina lao Nikajua tayari[emoji23][emoji23][emoji23]
Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
Hamna kuzingua hiyo😂Msizingue kesho