Yanga kuandaa sherehe ya kuwacheka watani (Simba ) ni ukosefu wa kazi, wanayanga puuzeni Hilo Jambo lisilo na mantiki

Yanga kuandaa sherehe ya kuwacheka watani (Simba ) ni ukosefu wa kazi, wanayanga puuzeni Hilo Jambo lisilo na mantiki

Sijawahi kuona Barcelona au Real Madrid ama derby ya za England wakifanya upuuzi Kama huo.

Ally kamwe na kikundi chako mlichodhamiria kukifanya hakika ni ujuha/ umbumbumbu hii haina tofauti na unbiten mwaisho wa siku wachezaji wakapumbazika wakapikwa na timu iliyokua inashika mkia kwenye msimamo wa ligi (ihefu).

Kwa Nini isifanyike hiyo party baada ya kuchukua kombe la shirikisho au baada ya kutolewa??

NALIA NGWENA ( shabiki yanga lialia) siungi napinga wazo la kufanya party ya kumcheka mtani.

Nawasilisha.
Ila dogo kichwa kitupu yule, anaharibu image ya Yanga yetu.
 
Simba ni 8 Afrika.
Yanga 28 Afrika.

MBAKA HAPA Simba Ina 1.5 BILIONI Moja na Milioni mia Tano.
Yanga Bilioni 1.

Simba ana super cup.
Simba ana BILIONI 4 super cup.



1. Nimefikiria vizuri NIMEONA watucheke iwe ni Njia ya Simba kupambana Hadi kufa Ili wafikie Fainali ya KLABU BINGWA misimu ya mbeleni.

2. Wameboresha utani WA jadi na kuingiza pesa... Ref arsenal na spars....

3.Wamepeleka timu Hadi kwa watu wajisajili na kujiunga na yanga.

KONGOLE KWAO.....
Wanasema kwa kuingia nusu fainali, Yanga imeshaondoka nafasi ya 28 Afrika ipo 22.
Semi final imemuongezea alama 5 zaidi kutoka 10 mpaka 15.
Wenzao Simba wana alama 35 wakati Namungo ana 1.5
 
Hakuna ujuha wala ujinga.... Acha watu watoe fursa kupitia current situation asee!!. Unajua wangapi watanufaika kupitia hiyo event?, Fikiria nje ya box mpira sasa ni fursa ndani ya uwanja hata nje ya uwanja.
Hakuna mtu anayepiga event,watu wanashangaa content behind the event,ni ujinga tu,hakuna ubunifu.
 
Ok,mnawacheka kwa sababu gani?kwa wao kutolewa robo fainali kwenye kombe ambalo nyie hata hatua ya makundi hamjaingia mwaka wa 30 huu?.Hivi tukiwaita hamnazo mtanuna kweli??
 
Soka letu bado lina safari ndefu watendaji nao wapo kimihemko zaidi badala ya kuweka ujuzi
 
Me nadhan utani wa Watani uendelee mana sina sababu hata moja inayoonesha huu utani unarudisha thaman ya mpira wetu zaidi naona mpira unaendelea kukua kila sku
 
Back
Top Bottom