Yanga kubandua nembo ya Haier kimkataba

Eti wanauliza mmeuona mkataba?! Wakati wote tunasikia kauli zao na hata uongozi wa Yanga haupingi kwamba mkataba unataka hivyo.
Ni kama hawaelewi nini kipo disputed. Wao ni kama bendera tu
 
Eti wanauliza mmeuona mkataba?! Wakati wote tunasikia kauli zao na hata uongozi wa Yanga haupingi kwamba mkataba unataka hivyo.
Ni kama hawaelewi nini kipo disputed. Wao ni kama bendera tu
Kuna vitu viko universal huhitaji hata kuona mkataba unasemaje kwasababu ni sheria ambayo ipo open na iko applied sehemu zote

Mdhamini mkuu anayekaa kifuani ndio mdhamini mwenye kauli ya mwisho linapokuja swala la makubaliano mapya na wadhamini wengine.

Hilo halihitaji mkataba wala kujua bonus ipo au haipo
 
Nikiona huyo Jemedari Said huyu mbwiga huyu jamaa sijui huwa namuonaje, kila kitu anajifanya anajua.
 
Nikiona huyo Jemedari Said huyu mbwiga huyu jamaa sijui huwa namuonaje, kila kitu anajifanya anajua.
Mshamba sana yule jamaa...ni dizain ya wale wanawake wauswahilini wacheza vigodoro na kusutana, na chuki zimemjaa.
 
Utopolo wanazidi kuthibitisha walivyo wajinga kwenye mikataba, hii ni aibu, wale watetezi sijui wataficha wapi sura zao.
 
Kwanini uwaamini Sportpesa na usiwaamini Yanga?
What if Yanga Wana ushahidi wa makubaliano na hiyo kauli ya Sportpesa ni an afterthought?
Huoni kuwa wewe umeamua kuwaamini Sportpesa kwa sababu it makes you happy?
 
Hiyo post "inaelewesha" haipo "kiubishani"
Inaelewesha kitu gani wakati inauliza maswali?

Mbona maelezo nilotoa hapo yako sawa na yako ila unataka kupindisha uonekane mjuaji
 
Safi sana sportpesa kazia hapo hapo mpaka hawa makima wateme ndoano
 
Kwanini uwaamini Sportpesa na usiwaamini Yanga?
What if Yanga Wana ushahidi wa makubaliano na hiyo kauli ya Sportpesa ni an afterthought?
Huoni kuwa wewe umeamua kuwaamini Sportpesa kwa sababu it makes you happy?
Unauliza kwanini siwaamini wahuni?

Usually I don't put my trust on thugs

Yanga wawe na ushahidi upi?

Kwamba SportPesa wanaelewa kabisa kuwa tunatoa accusations dhidi ya Yanga kwenye jambo ambalo wanajua kabisa ushahidi utakwenda kumnufaisha Yanga na kufanya wao wapate hasara kwa kutozwa faini?
 
Inaelewesha kitu gani wakati inauliza maswali?

Mbona maelezo nilotoa hapo yako sawa na yako ila unataka kupindisha uonekane mjuaji
Unaweza ukauliza swali na ukapewa jibu kwa njia ya swali

Tatizo linakuja, unauwezo wa ku decode swali kuliweka katika form ya jibu?
 
Nje ya mda wewe jamaa sijui una ishi vipi na majirani zako maana una wivu, majungu na kiherehere
 
Unaweza ukauliza swali na ukapewa jibu kwa njia ya swali

Tatizo linakuja, unauwezo wa ku decode swali kuliweka katika form ya jibu?
Unajionyesha jinsi gani ulivo mjuaji hata pasipohitajika
 
Unajionyesha jinsi gani ulivo mjuaji hata pasipohitajika
Sio ujuaji, sema tu we ndio hujui.

Kwenye mjadala hiyo ni philosophy ya Socratic questioning and critical thinking wala sio ujuaji
 
Sio ujuaji, sema tu we ndio hujui.

Kwenye mjadala hiyo ni philosophy ya Socratic questioning and critical thinking wala sio ujuaji
Sijui kitu gani wakati nishatoa maelezo juu hapo ukajikanyaga kanyaga.

Critical thinking kwenye maswala ya Yanga tu😂 🚮
 
Sijui kitu gani wakati nishatoa maelezo juu hapo ukajikanyaga kanyaga.

Critical thinking kwenye maswala ya Yanga tu😂 🚮
Yale ni malalamiko ambayo umechagua kuyaita maelezo

Kumbe maswala ya Yanga hayajitaji critical thinking?
 
Basi utaamini.
 
Kwanini uwaamini Sportpesa na usiwaamini Yanga?
What if Yanga Wana ushahidi wa makubaliano na hiyo kauli ya Sportpesa ni an afterthought?
Huoni kuwa wewe umeamua kuwaamini Sportpesa kwa sababu it makes you happy?
mashabiki wa Yanga mnatakiwa kujua Yanga sio viongozi, viongozi ni sehemu ya Yanga na ni binadamu wanaoweza kufanya maamuzi ya kijinga. Mnapaswa kuwahoji.
 
kwa hiyo kama kawaida kidau keshamuonesha barua ya sportpesa jemmedari!
 
mashabiki wa Yanga mnatakiwa kujua Yanga sio viongozi, viongozi ni sehemu ya Yanga na ni binadamu wanaoweza kufanya maamuzi ya kijinga. Mnapaswa kuwahoji.
Kama viongozi wanaweza kufanya maamuzi ya kijinga, basi pia Sportpesa viongozi wao wanaweza kufanya maamuzi ya kijinga nao pia wanaweza kuhojiwa.
Usifanye uamuzi kwa jambo usilolijua.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…