Yanga kubandua nembo ya Haier kimkataba

Yanga kubandua nembo ya Haier kimkataba

View attachment 2503200
Wakati mtaani watu wanasema kwenye mashindano ya kimataifa Sportpesa hawatoi hela.

Kwenye mkataba wa Yanga SC na SportPesa katika hatua hizi za makundi, robo fainali, nusu fainali na fainali kuna bonasi kutoka Sportpesa kwenda Yanga SC iwapo watashinda mechi, kuingia robo fainali, kuingia nusu fainali, kuingia fainali na kuchukua ubingwa.

Sasa kama mdhamini analipia yote hayo na anakuambia hataki uweke kitu kingine hapo unawezaje kumkiuka?

Wakati mwingine tufanye mambo kisasa kidogo, nafahamu Yanga SC na SportPesa walikuwa kwenye majadiliano Yanga wakiomba kutumia eneo ambalo SportPesa wanastahiki kuwepo kimkataba.

SportPesa wakakataa kwamba hawapaswi kufanya hivyo.

Kimkataba pia SportPesa wanahaki ya kusema nani awekwe hapo nani asiwekwe na kila upande unafahamu hilo.

Unabaki unajiuliza haya yametokeaje ili hali mkataba ni makubaliano ya kisheria ambayo yanapaswa kuheshimiwa na pande zote zilizomo kwenye huo mkataba?

Kuna mahala pana tatizo ingawa hatutaki kukubali na kusema ukweli.

BIN KAZUMARI (The voice of the voiceless)
Vipi wameshabandua?
 
Kwani lazima KUBANDUA NEMBO..?? Je kama wapo tayari kuwalipa Sportpesa TATIZO LIPO WAPI…???
Naona watu mnakimbilia kwny kubandua nembo wakati kuna option ya pili ya kuwalipa Sportpesa. Kwanini msijikite huko kwa kuuliza kwamba JE, YANGA WANABANDUA NEMBO AU WATAWALIPA SPORTPESA..??
 
View attachment 2503200
Wakati mtaani watu wanasema kwenye mashindano ya kimataifa Sportpesa hawatoi hela.

Kwenye mkataba wa Yanga SC na SportPesa katika hatua hizi za makundi, robo fainali, nusu fainali na fainali kuna bonasi kutoka Sportpesa kwenda Yanga SC iwapo watashinda mechi, kuingia robo fainali, kuingia nusu fainali, kuingia fainali na kuchukua ubingwa.

Sasa kama mdhamini analipia yote hayo na anakuambia hataki uweke kitu kingine hapo unawezaje kumkiuka?

Wakati mwingine tufanye mambo kisasa kidogo, nafahamu Yanga SC na SportPesa walikuwa kwenye majadiliano Yanga wakiomba kutumia eneo ambalo SportPesa wanastahiki kuwepo kimkataba.

SportPesa wakakataa kwamba hawapaswi kufanya hivyo.

Kimkataba pia SportPesa wanahaki ya kusema nani awekwe hapo nani asiwekwe na kila upande unafahamu hilo.

Unabaki unajiuliza haya yametokeaje ili hali mkataba ni makubaliano ya kisheria ambayo yanapaswa kuheshimiwa na pande zote zilizomo kwenye huo mkataba?

Kuna mahala pana tatizo ingawa hatutaki kukubali na kusema ukweli.

BIN KAZUMARI (The voice of the voiceless)
Tatzo hapo ni huyo MD wa sportpesa sijui ni wa hapa bongo tyu au pote sptpexa ilipo[emoji1787][emoji1787]
 
View attachment 2503200
Wakati mtaani watu wanasema kwenye mashindano ya kimataifa Sportpesa hawatoi hela.

Kwenye mkataba wa Yanga SC na SportPesa katika hatua hizi za makundi, robo fainali, nusu fainali na fainali kuna bonasi kutoka Sportpesa kwenda Yanga SC iwapo watashinda mechi, kuingia robo fainali, kuingia nusu fainali, kuingia fainali na kuchukua ubingwa.

Sasa kama mdhamini analipia yote hayo na anakuambia hataki uweke kitu kingine hapo unawezaje kumkiuka?

Wakati mwingine tufanye mambo kisasa kidogo, nafahamu Yanga SC na SportPesa walikuwa kwenye majadiliano Yanga wakiomba kutumia eneo ambalo SportPesa wanastahiki kuwepo kimkataba.

SportPesa wakakataa kwamba hawapaswi kufanya hivyo.

Kimkataba pia SportPesa wanahaki ya kusema nani awekwe hapo nani asiwekwe na kila upande unafahamu hilo.

Unabaki unajiuliza haya yametokeaje ili hali mkataba ni makubaliano ya kisheria ambayo yanapaswa kuheshimiwa na pande zote zilizomo kwenye huo mkataba?

Kuna mahala pana tatizo ingawa hatutaki kukubali na kusema ukweli.

BIN KAZUMARI (The voice of the voiceless)
Mwekezaji mwenye bil 20 zake anauliza kaka
 

Attachments

  • Mo.jpg
    Mo.jpg
    67.1 KB · Views: 2
Wachambuzi wa Bongo wapo Imara kwenye kila sekta kwanzia kwenye sheria na mikataba, Mbinu za mpira, ukocha , Urefa, Riadha, ndondi.. Daah! Wachambuzi wa bongo wapo juu sana , nawakubali maana hakuna kitu hawajui
😂 uwezi kuwa mchambuzi wa kila mchezo, ni bongo tu tuna vipaji hivyo
 
Kwani lazima KUBANDUA NEMBO..?? Je kama wapo tayari kuwalipa Sportpesa TATIZO LIPO WAPI…???
Naona watu mnakimbilia kwny kubandua nembo wakati kuna option ya pili ya kuwalipa Sportpesa. Kwanini msijikite huko kwa kuuliza kwamba JE, YANGA WANABANDUA NEMBO AU WATAWALIPA SPORTPESA..??
kati ya hizo options mbili umeona ipi?
 
Hata wakitolewa hatua hii wamepata mwanga kimataifa inaonekana walikua weupee hawa wenzetu mpaka wanachanganya michuano, aibu naona mim.
 
Siku tatu zimepita sijamtia me machoni, washikaji walisema kakatiza sasa hivi [emoji344] [emoji445][emoji445][emoji445] AB Skills [emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom