Shadeeya
JF-Expert Member
- Mar 12, 2014
- 49,759
- 118,798
Hahahaaaa. Nimecheka sana lol.Nyie nendeni makundi ya Whatsapp View attachment 749682
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahaaaa. Nimecheka sana lol.Nyie nendeni makundi ya Whatsapp View attachment 749682
waambieee..Wa mchangani endeleeni kununua penati na magoli
Yanga International
600 itapendeza zaidi
We kaa na Mikia wako aka Rufaa FC..Saizi yako ni Ndanda na Njombe Mji.kwanza niwapongeze yanga kwa kuingia hatua ya Makundi ...mmepata pesa lazima tuwapongeze katika hilo!
lakini hii jeuri ya kuitukana ligi yetu VPL kwakuwa tu mmepata hela je ni ujinga au ni ule msemo Wa maskini akipata matako hulia mbwata?
Leo hii mmesahau kuwa ligi ndio iliyosababisha mkapata hizo m 600?
"tumechukua m600 , wakati ligi wanatoa m80, kwahiyo sisi ni zaidi kuliko Simba!"
yanga bhana!
sasa niwaambie tu kwa matusi haya ..mwakani ndege mtaiona kwenye movie za kivita tu shenzi type....
vinginevyo tar 29..tutaongeza dozi badala ya 5 zitakuwa 7.
Hahahaa. Wacha porojo Mkuu kwani uongo kwamba hatujapata hizo pesa.
Pambana na ligi Mkuu sie wacha tupambane na Mashindano yenye pesa.
Hahaaa. Tunashiriki Mtani ila kwa mbaali tunawaachia nyie wenye uchu na Mil. 80.Kwa hiyo hamshiriki Ligi mtani?
Hauhitaji degree kujua tofauti ya Ml 600 na Ml 80 just simple hata wa chekechea anaelewa haya mambo na tarehe 29 tuko imara bora tufungwe na majimaji kuliko mikia fcWw unacheza namba ngapi pale msimbazi ?
Hahaaa. Tunashiriki Mtani ila kwa mbaali tunawaachia nyie wenye uchu na Mil. 80.
Hahahaaa. Ndio mwanzo wa kujipanga Mtani.Mmekubali kumaliza msimu bila kombe lolote... Hamjui mwaka kesho mtabaki humu kama sie
Hahahaaa. Ndio mwanzo wa kujipanga Mtani.
Tulishachemsha mwanzo Mtani. Ila niseme tu hatutakuwa kama nyie kwamba tutakaa misimu mitano bila kikombe. [emoji85] [emoji85]
Hahahaaa. Hayo yalikuwa mawazo yako tu Mtani kama timu ilikuwa bora kwa nini Ubingwa usiwepo sasa?Yale makombe ya Malinzi hayapo tena
Boya au poyoyo gani kakwambia Yang imedharau VPL?kwanza niwapongeze yanga kwa kuingia hatua ya Makundi ...mmepata pesa lazima tuwapongeze katika hilo!
lakini hii jeuri ya kuitukana ligi yetu VPL kwakuwa tu mmepata hela je ni ujinga au ni ule msemo Wa maskini akipata matako hulia mbwata?
Leo hii mmesahau kuwa ligi ndio iliyosababisha mkapata hizo m 600?
"tumechukua m600 , wakati ligi wanatoa m80, kwahiyo sisi ni zaidi kuliko Simba!"
yanga bhana!
sasa niwaambie tu kwa matusi haya ..mwakani ndege mtaiona kwenye movie za kivita tu shenzi type....
vinginevyo tar 29..tutaongeza dozi badala ya 5 zitakuwa 7.
Angalia Leo Okwi amepiga penalty hata 4 hazifiki...Watani wanadai tunanunua penalty.Hahahaaa. Hayo yalikuwa mawazo yako tu Mtani kama timu ilikuwa bora kwa nini Ubingwa usiwepo sasa?