Kajole
JF-Expert Member
- Apr 12, 2011
- 1,668
- 1,643
Pole hujafikiria nje ya box. Wanaposema ndege ni lugha ya picha kuna kitu kinamaanishwa hivyo fikiria zaidibp utagundua sio ndege kama ndege maana kama huna uwakilishi wa kimataifa utapandishaje timu ndege?Hoja ya kupanda ndege ni hoja ya kipuuzi...watu wazima mnajadiliana eti sisi tutapandandege na nyie hamtapanda ndege....hovyo kabisa...mijadala ya aina ndiyo sababu mojawapo inayofanya soka yetuiendelee kudumaa...baaadala ya mijadala kujikita na masuala ya ufundi mpirani/uwanjani watu wazima tunajadiliana kupanda au kutlopanda ndege...hovyo kabisa...