Hoja ya kupanda ndege ni hoja ya kipuuzi...watu wazima mnajadiliana eti sisi tutapandandege na nyie hamtapanda ndege....hovyo kabisa...mijadala ya aina ndiyo sababu mojawapo inayofanya soka yetuiendelee kudumaa...baaadala ya mijadala kujikita na masuala ya ufundi mpirani/uwanjani watu wazima tunajadiliana kupanda au kutlopanda ndege...hovyo kabisa...