Yanga kuizidi Simba points za CAF

Acha uong
Issue ipo hiviiii


simba ana point 28. Yanga ana point 24. Yanga akiingia makundi kesho anapata point 10 jumla anakua na 34. Simba akifuzu na yeye kombe la looser ( wamama) anapata point 2.5 so anakua na point 30.5 so yanga anakua juu ya simba
Acha uongo
 
Kombe la looser ndio limewapa point
 
Kazi wanayo Simba wazee wa kutambia rank sijui watabakia na nini endapo Yanga ikifuzu leo.
 
Issue ipo hiviiii


simba ana point 28. Yanga ana point 24. Yanga akiingia makundi kesho anapata point 10 jumla anakua na 34. Simba akifuzu na yeye kombe la looser ( wamama) anapata point 2.5 so anakua na point 30.5 so yanga anakua juu ya simba
Hao Simba luwala inatakiwa hata makundi wasiingie.
 
Niweke kwenye kumbukumbu hili swala muhimu.

Simba ndio timu ya kwanza kuwa katika Port 1
Katika mashindano ya CAF.

Nawasilisha
 
Niweke kwenye kumbukumbu hili swala muhimu.

Simba ndio timu ya kwanza kuwa katika Port 1
Katika mashindano ya CAF.

Nawasilisha
Haina umuhimu



Muhimu ni Simba afike final kama yanga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ