Yanga kumficha ndani Kambole kama 'msukule' siyo sawa!

Binafsi niliwashangaa sana wachezaji 2 huyo kambole na yacuba sojne ..yaan iñ short hawana focus ktk maisha yao ya soka ..iv inakuwaje mtu ung'ang'anie kukaa ktk timu ikiwa hupati nafasi eti jnasema unatibiwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…