Yanga kumficha ndani Kambole kama 'msukule' siyo sawa!

Yanga kumficha ndani Kambole kama 'msukule' siyo sawa!

Jibuni hoja ni sio attacks..mpk sasa mleta mada ana ongoza kwa hatrick hahaa yani mngesema sio yy au yupo kwa sbb moja mbili tatu...ila naona mnamvaa mleta thread vibaya mno inadhihirisha kuna shida kweli.
Nani sasa wa kujibu hoja za kipuuzi kama hizo! Mjijibu wenyewe.
 
Ukweli ni kwamba Kambole yupo Kigamboni. Sisi wafukunyuku tunalijua hilo kitambo.
 
Yuko vipers huyoooo walisema
View attachment 2398063
View attachment 2398000
Yanga wakimuaga daktari wa timu wiki iliyopita.

Kambole amekuwa akifungiwa ndani huko Avic Town Kigamboni ili kuficha aibu ya siasa za usajili.
Huyu ni mchezaji aliyetajwa kuachwa na Yanga baada ya idadi ya wachezaji wa kigeni kuzidi kufuatia usajili wa Kisinda.

TFF ilihalalisha kucheza kwa Kisinda Yanga ikiwa ni uamuzi wa kamati ya Sheria na hadhi za wachezaji ya TFF.

Tuliambiwa hilo lilitimia baada ya kumpeleka kwa mkopo Kambole katika timu ya Wakiso Giants nchini Uganda na ITC yake ilitumwa huko na sio Yanga tena.

Kumbe haikuwa kweli mchezaji huyo amefichwa kambini ili asionekane hadharani kukwepa aibu.

Mficho huu huwezi kuukuta media kwa sababu wachambuzi wote wamepewa maelekezo sambamba na kitu kidogo ili kunyamazishwa. Kama Simba Sc ingekuwa imefanya tukio la hovyo kama hili dunia ingesimama kwa makombora kwa Barbra.

Nawataka Yanga wamuache Kambole awe huru kuchangamana akisubiri hatma yake badala ya kumficha ndani kama msukule
 
Uzi unasema Kambole hajaenda Uganda ila yupo Kigamboni ukaambatanisha na picha ukimuwekea alama Kambole kana kwamba ndio ameonekana,

Swali: hiyo picha imepigwa mwaka gani?
Swali lako limejibiwa na uzi,rudi kasome
 
Back
Top Bottom