ToniXrated
JF-Expert Member
- Sep 21, 2022
- 1,134
- 2,993
OKW BOBAN SUNZU Jana nlimuona Kambale pale ferry akila pweza!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Rage, njoo tafadhali umkaripie huyu shabiki wako hapa! Maana anatuchanganyia mafaili.Haki za binadamu lazima ziheshimiwe
Nani sasa wa kujibu hoja za kipuuzi kama hizo! Mjijibu wenyewe.Jibuni hoja ni sio attacks..mpk sasa mleta mada ana ongoza kwa hatrick hahaa yani mngesema sio yy au yupo kwa sbb moja mbili tatu...ila naona mnamvaa mleta thread vibaya mno inadhihirisha kuna shida kweli.
Upuuzi uko wapi hapo mkuu hahaahaha. Basi tufanye mtajijua wenyeweNani sasa wa kujibu hoja za kipuuzi kama hizo! Mjijibu wenyewe.
Kocha ndio huamua acheze namba ngapi. Bangala siku nyingine anapangwa beki wa kati, siku nyingine kiungo mkabajiSamahani anacheza namba ngapi Yanga?
Huyu kanasa,unategemea atajibu niniUpuuzi uko wapi hapo mkuu hahaahaha. Basi tufanye mtajijua wenyewe
Hiyo picha imepigwa mwaka gani??Huyu kanasa,unategemea atajibu nini
Unawataka Yanga ukiwa kama nani?View attachment 2398063
View attachment 2398000
Nawataka Yanga wamuache Kambole awe huru kuchangamana akisubiri hatma yake badala ya kumficha ndani kama msukule
Umesoma uzi?Hiyo picha imepigwa mwaka gani??
Tuanzie hapa kwanza
Wewe na huyo Rage wako !!!Rage, njoo tafadhali umkaripie huyu shabiki wako hapa! Maana anatuchanganyia mafaili.
Kama mlivyo nyinyi tu na Manara wenu!Wewe na huyo Rage wako !!!
Uzi unasema Kambole hajaenda Uganda ila yupo Kigamboni ukaambatanisha na picha ukimuwekea alama Kambole kana kwamba ndio ameonekana,Umesoma uzi?
Manara mwanenu huyo mnamkana tenaKama mlivyo nyinyi tu na Manara wenu!
View attachment 2398063
View attachment 2398000
Yanga wakimuaga daktari wa timu wiki iliyopita.
Kambole amekuwa akifungiwa ndani huko Avic Town Kigamboni ili kuficha aibu ya siasa za usajili.
Huyu ni mchezaji aliyetajwa kuachwa na Yanga baada ya idadi ya wachezaji wa kigeni kuzidi kufuatia usajili wa Kisinda.
TFF ilihalalisha kucheza kwa Kisinda Yanga ikiwa ni uamuzi wa kamati ya Sheria na hadhi za wachezaji ya TFF.
Tuliambiwa hilo lilitimia baada ya kumpeleka kwa mkopo Kambole katika timu ya Wakiso Giants nchini Uganda na ITC yake ilitumwa huko na sio Yanga tena.
Kumbe haikuwa kweli mchezaji huyo amefichwa kambini ili asionekane hadharani kukwepa aibu.
Mficho huu huwezi kuukuta media kwa sababu wachambuzi wote wamepewa maelekezo sambamba na kitu kidogo ili kunyamazishwa. Kama Simba Sc ingekuwa imefanya tukio la hovyo kama hili dunia ingesimama kwa makombora kwa Barbra.
Nawataka Yanga wamuache Kambole awe huru kuchangamana akisubiri hatma yake badala ya kumficha ndani kama msukule
Ni kama okwa tuUsajili wenyewe wa Kisinda huyo anayekimbia hovyo hovyo kama swala.... ??
Yupo ndio, shida ipo wapi?Ukweli ni kwamba Kambole yupo Kigamboni. Sisi wafukunyuku tunalijua hilo kitambo.
Yuko Avic town amefichwaYuko vipers huyoooo walisema
Swali lako limejibiwa na uzi,rudi kasomeUzi unasema Kambole hajaenda Uganda ila yupo Kigamboni ukaambatanisha na picha ukimuwekea alama Kambole kana kwamba ndio ameonekana,
Swali: hiyo picha imepigwa mwaka gani?
Kama unakubali yupo na huoni shida basi huna akili.Yupo ndio, shida ipo wapi?