Yanga kuna laana, Moringa yupo Namungo, Tshisimbi yupo Kitayose, Amis Tambwe yupo Singida united, Chirwa yupo ...

Na wewe utuambie Junior Lokossa, Chikwende, Duncan Nyoni, Dan Serunkuma, na Shiboub wako wapi?
 
SII kweli wewe utakuwa Thimbaa🏃
 
Gadiel Michael masikini aliondka yupo [emoji91] [emoji91] [emoji91]
 
Haruna chanongo,Hassan Isiaka,said Ndemla, William Lucian..

Kwasi,Gyan,Mavugo..
 
Deo kanda yupo Mtibwa sugar,Gyan yupo singida huko na Kwasi hats ajulikani yupo wapi kama amekufa au ni mzima
Eti ni mzima au amekufa nimecheka saaaaaana
 
Tuanzie hapa
Kotei yupo tdb
Gyan huko huko uchochoroni
Deo kanda yupo porini huko kitayose

Ajibu na wenzie kina ilamfya Gadiel,kisubi, wako wapi?angalau ajibu anasugua benchi azam haya.

Shiboub anacheza wapi sasa? Yule mbrazil fraga mpaka sasa hana team ..!

Vitu vingine havifai kuanzisha uzi ni vile ujeuri tu.
 
Usimsahau Dany Serunkuma.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…