Tate Mkuu
JF-Expert Member
- Jan 24, 2019
- 33,092
- 96,127
Na wewe utuambie Junior Lokossa, Chikwende, Duncan Nyoni, Dan Serunkuma, na Shiboub wako wapi?Hawa wachezaji wakimataifa walikuwa first eleven pale jangwani,wakaachana tukajua wanaenda kukiwasha real madrid kufumba na kufumbua eti wapo kitayosce sijui DTB sijui Namungo,labda Amis Tambwe nitamuelewa kwa umri wake wa miaka 45,the rest ni kalaana flani hivi,yanga tupunguze uchawi kwa wachezaji tunaowacha