Yanga kuna tatizo

Tatizo unalo wewe usiejielewa, Una uhakika yanga inarudi bila mocha ata mmoja au usimba wako ndo umekutuma uongee hizo porojo zako za kwenye mitandao, maana kwa ulichokiandika inaonekana kabisa hauna taarifa za kutosha juu ya yanga isipokuwa chuki na taarifa udaku ndo umetuletea apa, unasema yanga kuna tatizo liseme basi hilo tatizo maaana pengine unalijua!
 
Mocha ndio nani, mi simjui, lakini Kama ulikuwa na maana ya kocha, sijasema Yanga haikuwa na kocha, ila benchi la ufundi halikukamilika kwa maana ya kocha wa viungo na kocha msaidizi hawakuwepo kambini Morocco
 
... unasema yanga kuna tatizo liseme basi hilo tatizo maaana pengine unalijua!
Mkuu, mbona ameshakuonyesha dalili za tatizo? Wachezaji wanapotoka katika mapumziko, huwa wanaanza na mazoezi ya viungo ili kuuweka mwili fit kwa kupokea mafunzo. Sasa kama timu haina kocha wa viungo, huko pre season ilianzaje hiyo programme? Nini kilikwamisha kocha asiwepo huko?
 
Mapungufu haya yangekuwa yako upande wa Simba wale vibaka wa E-FM wakiongozwa na mchichamwiba Kijola wangekesha hata siku tatu kupiga madongo.
leo Kitenge alikuwa anageuka msemaji wa yanga wenzake kila wakihoji anawakatisha anasema taarifa rasmi ila kiukweli mji walioenda una corona, makocha wasaidizi wamekimbia si ajabu walitegemea ofa mwenyeji wao akawatolea nje.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…