Hii defense ya kipumbafu kabisa onaa hiyo shape?..CHAMA MUNGU ANAKUONA. MSULULU KAMA NG'OMBE WA KIMASAI NA BADO MPIRA UMEPITA MIGUUNI MWAO HAPOHAPO. SASA HIZO SIFA CHAMA. USIBISHE ANGALIA ATA WEWE NYAMBILILE FC.View attachment 2397035
Nadhani hili tatizo hutokea pale timu inapokaa mda mrefu na wachezaji kutumika sana na ndo maana ukiangalia unaona wachezaji wengi wanafanya makosa.Azam itoe humo,ile sio timu pumbavu zao.
Kuhusu yanga hatuongelei matokeo bali performance nzima ya timu
Ki aziz muache kabisa!Nashindwa kuelewa Yanga kunani? Form ya timu yetu imeshuka sana. Huku wenzetu wakizidi kupata kasi. Kocha Nabi sidhani kama ana shida, bali wachezaji mliosajili mmesajili kisiasa.
Aziz Ki ukiacha lile shuti lililotaka kumuua Manula ni wa kawaida sana, Bigirimana, Kisinda, Djuma Shabani wameshuka viwango sana, Mayele na Mwamnyeto wamekuwa wa kawaida mno.
Hili ndio kosa kubwa kwa yanga poor marking.CHAMA MUNGU ANAKUONA. MSULULU KAMA NG'OMBE WA KIMASAI NA BADO MPIRA UMEPITA MIGUUNI MWAO HAPOHAPO. SASA HIZO SIFA CHAMA. USIBISHE ANGALIA ATA WEWE NYAMBILILE FC.View attachment 2397035
Liverpool nayo imo kwenye hiyo listNadhani hili tatizo hutokea pale timu inapokaa mda mrefu na wachezaji kutumika sana na ndo maana ukiangalia unaona wachezaji wengi wanafanya makosa.
Naamini katikati ya ligi timu itarudi katika form yake Cha kushukuru ni kua timu bado inaendelea kupata matokeo.
Naona tatizo kama hili hata timu nyingi za ulaya huwatokea pia.
Huyu mstaribwa nnya ulichanika kabisa kuthubitisha nyie ni vinyesi fc kama asemavyo semaji lenu la zamanMakolo huyu nyanda wenu hajaachia samadi kweli kwa huu mkombora
Mnashindwa kuifunga team iliyo shuka form tuwasaidieje sasa?Nashindwa kuelewa Yanga kunani? Form ya timu yetu imeshuka sana. Huku wenzetu wakizidi kupata kasi. Kocha Nabi sidhani kama ana shida, bali wachezaji mliosajili mmesajili kisiasa.
Aziz Ki ukiacha lile shuti lililotaka kumuua Manula ni wa kawaida sana, Bigirimana, Kisinda, Djuma Shabani wameshuka viwango sana, Mayele na Mwamnyeto wamekuwa wa kawaida mno.
Mbambamba.Nashindwa kuelewa Yanga kunani? Form ya timu yetu imeshuka sana. Huku wenzetu wakizidi kupata kasi. Kocha Nabi sidhani kama ana shida, bali wachezaji mliosajili mmesajili kisiasa.
Aziz Ki ukiacha lile shuti lililotaka kumuua Manula ni wa kawaida sana, Bigirimana, Kisinda, Djuma Shabani wameshuka viwango sana, Mayele na Mwamnyeto wamekuwa wa kawaida mno.
Mtobo hukuuonaMakolo huyu nyanda wenu hajaachia samadi kweli kwa huu mkombora
🤣🤣🤣 ila alicheza kama beki asee...aendelee kuvuta tu.Yaano inogo juzi alikuwa anafanya jazi moja tu kukaba ila pass acuracy ilikuwa chini mno,pasi zake nyingi zilipotea,nadhani alivuta cha arusha kabla ya mechi
nyie ni mbumbumbu+Nashindwa kuelewa Yanga kunani? Form ya timu yetu imeshuka sana. Huku wenzetu wakizidi kupata kasi. Kocha Nabi sidhani kama ana shida, bali wachezaji mliosajili mmesajili kisiasa.
Aziz Ki ukiacha lile shuti lililotaka kumuua Manula ni wa kawaida sana, Bigirimana, Kisinda, Djuma Shabani wameshuka viwango sana, Mayele na Mwamnyeto wamekuwa wa kawaida mno.