Yanga kupanda kutoka nafasi ya 75-28 ni rekodi ya Afrika

Hivi mnara wa Rage, Luc Eymael na Manara, upi utavutia watu wengi? [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787]
Nadhani mnara wa mwenyekiti wa klabu ndugu Rage ndio utavutia watalii wengi maana yule ni top figure, pia alikuwa ni member of Parliament na zaidi ya yote yule ni Al haji mtu wa Mungu. Kauli yake Ina ukweli mtupu tena aliwaambia wanasimba wote ndani ya mkutano mkuu wa klabu
 
Sawasawa.Hao walioganda tu wapo nafasi ya ngapi na wapo kikombe gani Afrika?Wamewazidi viwango au hawajawazidi?Unabashiri mtawafikia lini?
NB:Kumbe bila kujilinganisha nao maisha yenu hayaendi?
 
Sawasawa.Hao walioganda tu wapo nafasi ya ngapi na wapo kikombe gani Afrika?Wamewazidi viwango au hawajawazidi?Unabashiri mtawafikia lini?
NB:Kumbe bila kujilinganisha nao maisha yenu hayaendi?
Ni Wivu tu[emoji23][emoji23]
 
Aahaaa
 
Mimi nadhani minara ya weupe ndio itavutia zaidi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…