Amaizing Mimi
JF-Expert Member
- Feb 2, 2019
- 489
- 1,102
Nielewe mzee sijasema nimeumizwa.Wivu mbaya sana, kwaio wewe umeumizwa sana na Yanga kupanda nafasi 47??
Nimemaanisha perfomance nzuri ndani ya msimu mmoja inaweza kukupeleka mbali zaidi.
Yaani kwa mfano yanga angebaki klabu bingwa na angechukua ubingwa angepanda mara dufu kwahio nafasi aliyokuwepo sio kigezo sana.
Mfano mdogo tu yanga alikuwa anashiriki mashindano ya kimataifa kwa miaka mingi sana, lakini namungo ndani ya msimu mmoja tu aliweza hadi kuipita yanga.
Mbona hukushangaa perfomance ya namungo from nowhere to somewhere?