Yanga kupata hasara zaidi mwaka huu wa fedha

Yanga kupata hasara zaidi mwaka huu wa fedha

Rozela

JF-Expert Member
Joined
Jan 5, 2024
Posts
845
Reaction score
2,235
1. Engineer Hersi kavunja mkataba na Master Gamond hivyo Yanga italipa fidia.
2. Kaajiri kocha wa mchongo na kuna kila dalili atamtimua hivyo Yanga italazimika kulipa fidia.
3. Inasemekana anatarajia kuvunja mkataba na Baleke hivyo Yanga italazimika kulipa fidia.
4. Kocha wa viungo aliyekuja juzi ni pendekezo la mjerumani wa mchongo, nayeye atatimuliwa hivyo Yanga italazimika kulipa fidia.
5. Hivi tunavyo ongea FIFA inaitaka Yanga kulipa fidia ya mchezaji aliyevunjiwa mkataba.

TUTEGEMEE HUYU MTU KUTULETEA RIPOTI YA HASARA ZAIDI KWENYE MKUTANO MKUU MWAKANI.

NI MUDA WA KUMTIMUA MAANA ANAFANYA MAMBO KWA KUKURUPUKA.
 
1. Engineer Hersi kavunja mkataba na Master Gamond hivyo Yanga italipa fidia.
2. Kaajiri kocha wa mchongo na kuna kila dalili atamtimua hivyo Yanga italazimika kulipa fidia.
3. Inasemekana anatarajia kuvunja mkataba na Baleke hivyo Yanga italazimika kulipa fidia.
4. Kocha wa viungo aliyekuja juzi ni pendekezo la mjerumani wa mchongo, nayeye atatimuliwa hivyo Yanga italazimika kulipa fidia.
5. Hivi tunavyo ongea FIFA inaitaka Yanga kulipa fidia ya mchezaji aliyevunjiwa mkataba.

TUTEGEMEE HUYU MTU KUTULETEA RIPOTI YA HASARA ZAIDI KWENYE MKUTANO MKUU MWAKANI.

NI MUDA WA KUMTIMUA MAANA ANAFANYA MAMBO KWA KUKURUPU
Lakini unakumbuka kuwa Yanga inafungwaje?
 

Attachments

  • Screenshot_20241116-181034_1.jpg
    Screenshot_20241116-181034_1.jpg
    193.7 KB · Views: 6
  • Screenshot_20241203-221155_1.jpg
    Screenshot_20241203-221155_1.jpg
    270.1 KB · Views: 5
1. Engineer Hersi kavunja mkataba na Master Gamond hivyo Yanga italipa fidia.
2. Kaajiri kocha wa mchongo na kuna kila dalili atamtimua hivyo Yanga italazimika kulipa fidia.
3. Inasemekana anatarajia kuvunja mkataba na Baleke hivyo Yanga italazimika kulipa fidia.
4. Kocha wa viungo aliyekuja juzi ni pendekezo la mjerumani wa mchongo, nayeye atatimuliwa hivyo Yanga italazimika kulipa fidia.
5. Hivi tunavyo ongea FIFA inaitaka Yanga kulipa fidia ya mchezaji aliyevunjiwa mkataba.

TUTEGEMEE HUYU MTU KUTULETEA RIPOTI YA HASARA ZAIDI KWENYE MKUTANO MKUU MWAKANI.

NI MUDA WA KUMTIMUA MAANA ANAFANYA MAMBO KWA KUKURUPUKA.
Hersi kwa Gamondi alifeli sana.

Yanga italipia
 
Back
Top Bottom